Sijaandika vyote ila nimetoa kama summary tuu. Baadhi ya vitu inatakiwa kukaa mezani Na mdhamini kukubariana.
Mshahara pia tunaweza gawana katika asilimia kwenye faida. Mfano 20% ya faida atachukua mdhamini, 30% ya faida inaenda kwa wafanyakazi, 30% ya faida inaenda kwenye kukuza mtaji, 20% ya...
Habari za Kazi wadau wa maendeleo.
Tunatafuta MTU anayeweza kutudhani, au kufanya naye kazi kulingana Na wazo letu kuanzisha kiwanda kidogo cha bites bajeti ni 2,705,000. Mdhamini atanufaika kwani tutakaa mezani Na kupanga namna ya kupata gawiwo la faida kila mwezi baada ya mauzo yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.