Pale main campus wametapeli watu kwa kutangaza nafasi za masomo hewa,watu wameapply lakin cha ajabu chuo kilishafunguliwa hakuna waloitwa hasa certifcates
Ndugu zangu,napenda kujuzwa kama ilishawahi kutokea hapa duniani serikali kutenga mamilioni kwa ajili ya mazishi,na kutenga mamia ya ekari maalum kwa kuzika viongozi,ni nchi gani nyingine duniani tofauti na tanzania?pia ni nani aliye na sifa za 'kiongozi wa taifa'kiasi cha kuingia kwenye mfuko huu?
Mama yangu mzazi 65,anasumbuliwa na maumivu kwenye nyonga pamoja na mifupa kuanzia kiunoni..naomba msaada kama kuna mtu anajua dawa aniandikie hapa,au ushauri wowote..tatizo limekuwa la miaka 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.