Recent content by Sir Leem

  1. S

    Watanzania tususe kupanda mabasi ya Shabbiby wa Gairo

    Kwa nini usiseme asipewe kura tena kwa mawazo yake kama hayo aliye yatoa huyo mbunge?Au kwa kuwa ni mfanyabiashara Je ingekuwa hayo mawazo ametoa mbunge mwingine kama alikuwa na kiosk cha pombe ungesema watu wasuse kununua bia au?
  2. S

    Zoo kubwa zaidi ya Wanyama kutoka Afrika kuzinduliwa nchini Oman siku ya Eid Pili

    hivi naomba kuuliza wanyama pori waliopo nchini huwa hawatakiwi kuuzwa?
  3. S

    Freeman Mbowe atua Mahakamani kunusuru nyumba ya mtoto wake

    Ingekuwa ndiyo mwana ccm hapo pangewaka moto kwenye hii forum
  4. S

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    wengi wetu tuna roho mbaya,wewe anzia hapa jamiiforums angalia comments na jinsi tunavyo andika ndipo uome watu weusi tulivyo
  5. S

    Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

    Watanzania pia wajue kama wakosoaji ni wale wale, wenye ukosoaji ule ule, wakikabili makosa yale yake kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi za kukosoa tena?AU watafutwe wakososaji wengine ili tupate watawala wengine?
  6. S

    RC Hapi asema safari za bombardier Iringa zitakuza utalii, uwekezaji na biashara

    Wajua Ruaha Nationa Park ipo mkoa gani? Hifadhi ya Ruaha Jump to navigationJump to search Hifadhi ya Ruaha iko katikati ya Tanzania umbali wa kilometa 128 magharibi ya mji wa Iringa. Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 1300. Hifadhi hii ni maarufu kwa wanyama aina ya kudu wakubwa na...
  7. S

    Fatma Karume Yamkuta Twitter, Ni Baada Ya Kusema Hajasomeshwa Na Serikali Ya CCM

    Anakuja kukumbuka haya maovu baada ya baba yake kuachia madaraka?Kwanini hakuwa anakosoa baba yake alipokuwa Ikulu ya Zanzibar?
  8. S

    KENYA: Wawekezaji wa kitanzania wanunua hisa kubwa katika Benki ya Equity

    Duuuuuh!!!Watu wengine wa ajabu kweli,hivi kuwekeza nje ya nchi sio uzalendo?Hivi haya makampuni ya Kenya yanaye wekeza Tanzania hayana uzalendo na nchi yao?Unaijua KCB?Kenya Commercial Bank?Wana Matawi Tanzania?Nenda TIC ulizia makampuni yaliye wekeza Tanzania kutoka Kenya? Mabalozi yote ya...
  9. S

    Kwanini matajiri wengi wana roho mbaya?

    Pia kuna maskini wengi huchukia matajiri kwa kuhisi umaskini wao umesababishwa na hao matajiri,na kama hutokea tajiri kafisilika au kapatwa janga lolote maskini hufurahikia.
  10. S

    Picha: Huyu ndiye mke wa Ali Kiba

    Nafikiri Ali kiba angekuja kukushauri umchagulie mwanamke wa kuoa umpatie house girl wako
  11. S

    Arusha: Wakili Fatma Karume achaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)

    kwani kwenye karatasi za kupigia kura waliweka nembo za vyama?
  12. S

    Indian School Dar es Salaam

    Na Mashaka sana na IQ yako hivi hata ku google huwezi ukaona ubaguzi wa wazungu?
Back
Top Bottom