Allen Habari za Magari Mabovu au haupo tena huko,Hivi Katibu mkuu wa chadema mmeshamjua ?Kwa mujibu wa katiba yenu ya chadema katibu mkuu anachaguliwaje si kama makatibu wa wakuu wa mabaraza wanachukua fomu na kuomba kura?
Kwa nini usiseme asipewe kura tena kwa mawazo yake kama hayo aliye yatoa huyo mbunge?Au kwa kuwa ni mfanyabiashara Je ingekuwa hayo mawazo ametoa mbunge mwingine kama alikuwa na kiosk cha pombe ungesema watu wasuse kununua bia au?
Watanzania pia wajue kama wakosoaji ni wale wale, wenye ukosoaji ule ule, wakikabili makosa yale yake kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi za kukosoa tena?AU watafutwe wakososaji wengine ili tupate watawala wengine?
Wajua Ruaha Nationa Park ipo mkoa gani?
Hifadhi ya Ruaha
Jump to navigationJump to search
Hifadhi ya Ruaha iko katikati ya Tanzania umbali wa kilometa 128 magharibi ya mji wa Iringa. Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 1300.
Hifadhi hii ni maarufu kwa wanyama aina ya kudu wakubwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.