Wewe ni mjinga wa mwisho unaishi nyumba ya laki na nusu na huna kipato chochote unachoingiza zaidi ya boom.Ndo nimeelewa kauli ya majaliwa ya wasomi kwenda veta inatakiwa ukimaliza uludi veta maana bado ujawa na utambuzi kifikra
Kiongozi umenikumbusha mbali sana yani kuna kitu umekigusia.Mahusiano ni janga kubwa kwa vijana tulio wengi na inatukosti sana na unakuja kubumbuluka muda ushaenda na pesa zishapotea hakuna kitu najutia kama hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.