Recent content by SIR CAPTAIN

  1. SIR CAPTAIN

    Ubovu wa product ya Mo ukwaju

    Hahahhahah kama unataka quality tengeneza yakwako
  2. SIR CAPTAIN

    Ubovu wa product ya Mo ukwaju

    Hahahhaha itakuwa heri sana
  3. SIR CAPTAIN

    Nauza playstation 3 fat

    Shusha bei utapata wateja
  4. SIR CAPTAIN

    Ubovu wa product ya Mo ukwaju

    Kiukweli moo anajitahidi sana katika bidhaa zake na ninaweza kusema ni best 100% Au wewe ni meneja wa masoko ya azam Hahahhahaha Mmepigwa bao kitu 300 Nyinyi 600 Hahahahaha Wacha moo alete ushindani
  5. SIR CAPTAIN

    Ubovu wa product ya Mo ukwaju

    Bila shaka wewe ni kibaraka wa azam wacha waitumie hio bidhaa mpya then wataona kama ina mapungufu Inawezekana una mdomo wa homa Hahahhahahah
  6. SIR CAPTAIN

    Msaada wana JF

    Wakubwa kuijua sifa ya hii gari suzuki samurai tafadhali naomba msaada wako kimaelezo
  7. SIR CAPTAIN

    Pajero IO GDI inauzwa

    3.5 m ipo cash
  8. SIR CAPTAIN

    Nauza playstation 3 fat

    Tuma picha Na taja bei
  9. SIR CAPTAIN

    Msaada wakubwa

    Shukran sana mkuu
  10. SIR CAPTAIN

    Msaada wakubwa

    Shukran sana mkuu
  11. SIR CAPTAIN

    Msaada wakubwa

    Wadau mwenye kujua mitsubish pajero ubora wake na changamoto zake naomba anielimishe
  12. SIR CAPTAIN

    Car4Sale Ingia hapa chagua Gari (Magari mazuri bei nzuri) wazee wa kulenga!

    Gari unaweza kununua kwa mil.3 mkuu ishu ni ushuru
Back
Top Bottom