Naitwa sir bangaler, ni mgeni humu ndani naombeni miongozo ya kutumia katika kuchangia na kujenga hoja, asante.
Sent from my SM-J106F using JamiiForums mobile app
Siku zote naamini kua pesa zinatafitwa ila furaha kuipata ndo ngumu katika maisha naamini huyo bidada na huyo mmewe hadi kufikia kufunga ndoa inaonesha wazi walikuwa na mzingi wa maisha.
Note: ushauri wangu ajifungue tuu na arudi kwa mumewe ili walee mtoto na watafute pesa ila akisema aende kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.