Recent content by Sipendi Masihara

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Samaki na nyama yoyote mimi sili nina allergy!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Sasa je... hata mimi hiyo ni moja ya sababu zinazonifanya nishindwe kula misosi yao....😁
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Nyama situmii, supu sipendelei... naoenda vyakula vigumu na vizito....
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    😂😂😂😂😂 nje ya nchi ni nje ya nchi tu hata kama unaona ni duni
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Vyakula kama wali vipo lakini kwa hotel ambazo hadi wazungu wanalia hapo inakua shida kidogo kupata... ni full marojorojo tu na maudwambo! 😂
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Nitajie majina kwa kiingereza ili nikifika huko nisihangaike... pia visiwe na mchanganyiko wa nyama! 🙏🏻
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Kuna vyakula vyao vya kiganda, sikukariri majina na madude ya kizungu daah... halafu mimi situmii nyama!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Sawa kabisa kiongozi 👍🏻
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Mimi situmii nyama hata kidogo! 😁
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Habari za jioni wakuu? Mimi nina changamoto moja, nilikwenda Uganda lakini nikakutana na changamoto ya misosi migeni kwangu ambayo sijawahi kula hata kwenye kinywa ilikuwa haipiti kabisa, nikaishia vinywaji, matunda na biskuti tu! Point yangu ni hii naombeni ushauri kwamba nikifika nje ya nchi...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mkali wa DanceHall "Vybz Kartel" hatimae ameachiwa Huru

    Yaani man cah dem fi know seh.... zeet dawg?!
Back
Top Bottom