Hongera JPM kwa kuwanyima wale jamaa wenye "MACHO MADOGO" hii kitu. Na utakuta negotiations zilizofanyika na hawa wa MISRI zimefanya gharama ya ujenzi kushuka maradufu aisee. Dah
Aliyetuharibia MIFUKO YA JAMII ANAFAHAMIKA, ameruhusu mifuko iwe mingi kama biashara ya mashindano, sasa hii ndiyo hasara ya MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII kuwa mingi na kushindana kama FREMU ZA KARIAKOO.
Bora sasahivi JPM anarudisha mfumo kuwa usio wakinyonyaji.
HALAFU HII TABIA IPO SANA, YA...
Unawezaje kupooza hisia za Mange ? Mwanamke ambaye wanaume wote waliomuoa walishindwa kupooza hisia zake na kuamua kumpa talaka ? HUWEZI KURIDHISHA NAFSI ZA WATANZANIA WOTE. Na nakuhakikishia hao watu wanao comment kwenye mitandao ukiwahesabu kwa kuanzia na MANGE mwenyewe hawazidi 1000 . Watu...
Na ww ndugu yangu unaonekana hujawahi KUWEKA au KUTOA benki fedha kiasi cha shilingi MILIONI KUMI. Ungelikuwa umewahi ungenielewa.
Unajua unapobadili kiasi kikubwa cha fedha na ukakosa kuwa na AKAUNTI YA BENKI UTAZUA MASWALI MENGI.
1. Kwanza fedha hizo taslimu unazochukua benki kwa mkupuo...
Ingelikuwa rahisi kama unavyosema, Wafanyabiashara wasingelihanya/wasingelichukia na kulikataa hili zoezi la kubadili NOTI.
Wewe unafikiri ni kwanini SERIKALI YA INDIA ilibadili NOTI za fedha zake mwaka jana 2017 ?
UNAPOBADILI NOTE wale wote walioficha fedha ndani na kuacha kupeleka benki watalazimika kuzitoa na kuzirudisha benki ili wapewe NOTE mpya, maana hawawezi kubaki na NOTE za zamani na hali wao wanataka kuendelea kufanya matumizi.
Watakapofika benki kurudisha maburungutu ndipo watakapoulizwa, kwa...
Nimejiuliza sana kama JPM anakosea kuchapisha pesa mpya. Sijaona kama ANAKOSEA maana kama huyo KAKOBE amekutwa na mamilioni kwenye majaba MAANA YAKE NI NINI ?
Maana yake ni kuwa wapo matajiri wengi wanaweka pesa nyumbani. Na wafanyabiashara wa kariakoo wanalifahamu hili, naskia ma TYCOON wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.