niwe muwazi udini umeanza pale chama tawala kilipoamua kurotate wagombea urais kwa kigezo cha udini nani asiyejua kuwa next election ni mkristo ndo anagombea kama nchi ni moja na tuko sawa kwanini wanatumia kigezo cha dini..magamba niwadini.
kwa maneno mafupi yasiyo ya kumumunya naomba niwaulize swali watanzania wenzangu tulio na uchungu na nchi yetu je hatuoni ni wakati sasa tuanza kupigania rasilimali zetu kila kukicha kashfa za ufisadi na rushwa mwisho wa siku zinapotelea juu kwa juu sasa nafikiri ni vizuri watanzania tuanze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.