Recent content by SINGLE WINDOW

  1. S

    Kenya2022 Mshindi wa Urais Kenya kutangazwa saa 9:00 mchana

    Da mkuu sasa ile I'd yako ya zamani huitumii Tena? Jecha wa bongo wewe
  2. S

    Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

    Nenda kampikie mumeo mbowe naona unakuwasha ukisimia anazungumziwa negative na unavyotaka wewe kafunge kanga ujiandae na kugongwa
  3. S

    Kenya2022 Mshindi wa Urais Kenya kutangazwa saa 9:00 mchana

    Mwenyekiti wa tume bado anashauriana na wenzie
  4. S

    Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

    Nikweli lakini wapinzani Tanzania hakuna kunawachumia tumbi tu kina mbowe
  5. S

    Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

    Yaani hapo utakuwa umetoa chizi na kuingiza kichaa yaani lema ndiyo awe mwenyekiti chadema ? Halafu aipelwke ikulu? Nitahama nchi Bora niende burundi
  6. S

    SWALI: Kwanini serikali haitaki kuwaletea wananchi Katiba Mpya?

    Ukiulizwa Hilo kabla ya kudai hiyo katiba mpya
  7. S

    SWALI: Kwanini serikali haitaki kuwaletea wananchi Katiba Mpya?

    Hivi katiba mpya itakuletea ugali nyumbani kwako? Fanya kazi kijana acha siasa huziwezi
  8. S

    Rais alipowaambia Ma-RC Makanali wasivae Kombati hadi watakaporejea jeshini alimaanisha nini?

    Hiyo haipo kwenye hii katiba yetu pendwa kwahiyo rais anaweza kuamua vyovyote anavyotaka iwe kwakuwa havunji katiba waliopita nao ndiyo yalikuwa maono Yao
  9. S

    Bandari ya Dar es salaam yaipiku bandari ya Mombasa. Mizigo yaongezeka

    Mizigo ineongezeka jamani siyo siasa Wala nini walioko field tunajuwa acheni kupinga Kila kitu
  10. S

    Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

    Wajinga ndiyo waliwao na ndiyo wewee
  11. S

    Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

    Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?
  12. S

    Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

    Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti...
  13. S

    Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

    Hapo anaenda kuaibika ni mnyika na mbowe ndiyo ma engineer wa huu mchezo nyie wengine hamuujui subirini mtaona
  14. S

    Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

    Ndugu hivi kweli majina yawe hayajapelekwa na mtu nec wanatoa wapi ujasili wa kupelwka majina kwa spika usifukirii nao ji wajinga wanapakuanzia kesi inakuja subirini mtaona wanavyoweka Moira kwapani hao chadema
  15. S

    Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

    Haswaa sasa wao walitaka kuwageuka kina mdee wakati tayari barua Iko tayari hapo mnyika anaenda kujivua nguo mahakamani na huyo angekuwa hajapeleka majina muda mrefu angeahafungua kesi ya nani aliyefiji Saini yake lakini kakaa kimya sasa ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja
Back
Top Bottom