:smile-big: Utakaa sana, Kwa taarifa yako sisi ndio tunaotongozwa siku hizi, Mimi binafsi nimemkataa mama mmoja mwenye hela ndefu sana, kwani Umri ulikuwa umekimbia kidogo, na alikuwa tayari kunihonga chochote nilichokuwa nataka, alikuwa na Magari ya Bei mbaya kuliko Mimi lakini nilimkataa. Sasa...