Recent content by Singasinga

  1. Singasinga

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Dah! wakuu mbona kama team yetu bado sana
  2. Singasinga

    Shambulizi la USA kwenye vinu vya nyuklia vya irani lilianza kusukwa miaka 15 nyuma

    Akizungumza leo kwenye press Gen Caine akiwa na Waziri wa ulinzi amesema kwamba shambulizi la jumapili iliyopita kwenye vinu vya nyuklia vya irani lilianza kusukwa miaka 15 iliyopita kwa kufanyia utafiti kila kitu kuanzia mazingira,miundombinu na siraha gani iundwe kwa ajili ya kufanikisha...
  3. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    We ni mpumbavu kabisa na tumbo lako kama umebeba mimba ya tembo...
  4. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Lengo ilikua kuzuia udhalishaji ndio maana wakapiga vinu
  5. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Malengo yametimia mpango wa nuclear ulokua unaelekea mwishoni umefutwa so itabidi waanze upya
  6. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Mbona imekubali kusitisha vita kiwepesi sana wakati imepata demage kubwa?
  7. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    We ndo mtu mmoja humu juzi alikuita usalama wa taifa?😂😂
  8. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Haya mashambulizi mbona yamekua makali sana kama juzi wakati B-2 inakaribia kutua au kuna jingine linakuja?
  9. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kama unadhani kila kitu kinalipuka kwa vilipuzi kachome muhindi kwa tochi.
  10. Singasinga

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Wana akili kuliko wewe ndio maana operation imefanyika bila hayo madhara unayosema.
Back
Top Bottom