Hapewi kwa sababu kuna dawa anazotumia yeye inayoitwa lamuvudine 3TC ktk combination form with other arv drugs huitibu hepatitis B iwapo itaingia mwilini. Hyo ndo sababu kuu ndugu. More information about HIV call 0710091609
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayefuata ni muislamu. Chunguza vijana km Hussein bashe, kassim majariwa na Suleiman jafo. Tutafutane 2025 mmoja wapo atakuwa presidential candidate. Hao wawili wa kwanza ni team ya lowassa na Rostam. Huyo maliamungu wa Dar Es salaam hawezi kupata bcoz mtu wake ni jasusi kutoka Jimbo la mtama.
Lengo kuuu ni kuondoa vizuizi vya manufaa ktk maisha mfano kupoteza sifa za kugombea. Maana yake ni kuwa sugu Hana kizuizi ktk kugombea Nafasi yyt ile. Hukumu ile Ingekuwa kikwazo siku za usoni
Lengo la kutumia condom ni kutengeneza mazingira magumu kwa kimelea kutembea ukilinganisha na unyevunyevu. Njia hyo ina highest preventive measures ukilinganisha na unyevunyevu
Kitaalam
Popote palipo na uwezekano wa kupatwa na ugonjwa tunasema, The longer the time of exposure the higher the risk of disease contact.
Mtu akiwa ktk Mapenzi Kwa muda mrefu na mtu mwenye Maambukizi km HIV, gonorrhea, syphilis, genital warts unakuwa kwenye hatari kubwa za kuondoka na...
Malaria ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka kwa muhusika kwenda kwa mtu mwingine. Malaria husababishwa na protozoan anayeitwa plasmodium falisparum, malariae, ovale, vivax. Huku Tanzania ni plasmodium falisparum ambaye akiingia hutoa dalili baada ya siku kumi mpaka kumi na nne.
Yeye anahitaji...
Mchubuko wowote ule ni njia rahisi Sana kwa kirusi hiki kupenya bcoz wanapita kwenye layer yyt ambayo imewazuia microorganisms wote km bacteria, plasmodium etc. Wanachohitaji ni medium tuu ili watembee. Ukipata bruise yaan mchubuko wowote ule kutoka kwa mtu mwenye Maambukizi ya virusi bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.