umenifurahisha mkuu ila nkukumbushe mmetutawala miaka mitatu sio nyinyi tu hata Azam Fc na hata jina la mikia fc lilikuja kwenye hicho kipindi.....subirin tuwatafutie na jina zuri ili mue hamna amani kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale mnaposema Simba this time anaingia kwenye plays off hivo anaweza kutoka kwenye quorter final msijiweke kwenye asilimia 100 kwani hata kabla ya makundi tulicheza plays off na mbabane bila kuisahau team ngumu kabisa Nkana Fc
Nawakumbusha hii hatua tuliofikia kila mwana simba anaifurahia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.