kiukweli inaboa na inakera,serikali ilitangaza kuwa zoezi la sensa litakalofanyika tarehe 26.8.2012 litafanywa na walimu ambao watapewa kipaumbele,cha kushangaza walimu hao wengine hawakupewa nafasi hizo na badala yake wamepewa wasiokuwa na sifa za ualimu na pia walitangaza katika baadhi ya...