jaman wandugu na marafiki naombeni msaada wenu juu ya hii kozi hapo juu.Sijaielewa but kwenye kitabu cha tcu nimeiona na inamkopo lakini nashindwa kuelewa ajira yake inapatikana au la...na pia inahusika na nini hasa.naombeni msaada wenu marafiki.
PEEEEOOOPLEEEEZ.............kila cku tunasemaga kuwa CHADEMA cku zote tunaanza na MUNGU na tunamaliza na MUNGU,tatizo la ccm wao huwa wanaanza na miguu wanamalizia na kichwa....safi sana LISU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.