Ila kama lengo ni kuinua afya ushirikiano huu unaweza kuwa safii. Mfano mtu akitoka kanisani akaenda hospital kufny vipimo kisha akarudi kanisani kwa ajili ya kuombewa huo ugonjwa huku akiwa amepewa na initial management ya hospital sana sana hay magonjwa yanayoathiri taratibu taratibu kama...
Kiukweli kuna haja ya kuboresha mfumo huu, maana wananchi wengi huwa tunatamani kupata taarifa lkn zinachelewa sana kutufikia mpaka waone tumelalamika sana. Hongera ndugu yangu
Mimi pia ni mkereketwa wa hili jambo mfano sabuni za JAMAA ambazo hutengenezwa Kenya zmekuwa maarufu utadhani zinatoka Tanzania ipo haja kubwa ya wazalishaji wetu kuboresha ubora wa bidhaa zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.