Recent content by Simon majura

  1. S

    Watanzania wameanza kuelewa juu ya kutumia haki yao ya kupiga kura

    Hili suala wananchi wengi walikuwa wanalichukulia kama halina umuhimu baada ya kuona huduma za jamii zinakaribia kutoweka kabisa hususan huduma duni za afya, elimu isiyo na kiwango, kupanda kwa umeme na huduma inayotolewa haina kiwango pamoja na wizi wa mabilion watu wamekuwa na mwamko wa...
  2. S

    Kwa kasi hii ya CDM, ni mwana CCM yupi atakiweza kimbunga cha Dr Slaa katika uchaguzi wa 2015?

    Humo ccm cjaona wa kusimama na slaa yote yaliyomo hayana jipya yanawaza kuiba tu uwajibikaji ni ziro.
  3. S

    CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

    Kama mbowe yuko bize selikari yako ya ccm huioni inafanya ujambazi kwa pesa umma fanya ubadilike na wewe yawezekana na mwizi.
  4. S

    Kwa staili hii, hakuna atakawapigia kura wapinzani

    Kwa mtazamo wako unataka tuchague chama gani wakati ccm ni wezi wanatapeli umma waziwazi mchana kweupe.
  5. S

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Huku bunda, mara tumekatiwa umeme tutakuwa tumekoswa mengi ya huko bungeni na waziri wetu wa nishati na madini sospeter Muhongo anatakiwa kujiuzulu kwa sababu ni muongo jana alitangaza kuwa anawaagiza mameneja wote wa Tanesco waakikishe umeme haukati nchi nzima ili watanzania wote waweze kuona...
  6. S

    Mwigulu, Mnyika, Zitto, Mdee na Silinde waweza leta sura mpya sakata la Escrow leo Bungeni

    Jaman mi cna iman na mwigulu hawo walikaa chama kizima wakatoa maamuzi watetee wezi sisi wananchi inatakiwa tuDELETE CCM hamna kazi ya maana wanayoifanya serikalin tofauti na wizi unaoendelea.
  7. S

    Yaliyojiri Bungeni: Alhamisi, 27 Novemba, 2014 - Mjadala Ripoti ya Tegeta Escrow Account

    Sisi wananchi ndo inatakiwa tuchukue hatua maana haiwezekani viongozi wakuu wa serikali waibe mali ya umma jaman kuna uchaguzi mkuu mwaka kesho tusiwahukumu viongozi walioiba hizo hela bali tuhukumu chama cha mapinduzi CCM kwa sababu wana sera moja ya umoja wao ndani ya chama kutetea maovu.
Back
Top Bottom