KATIBU Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amekiri kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amekipa chama chake mradi wa kifisadi wa mamilioni ya shilingi wa upanuzi wa eneo la bandari jijini Dar es Salaam, kinyume cha taratibu.
Katika taarifa yake kwa...