Hapo nadhani ilio ondolewa ni middle ring road ambayo ni ile ring road ya kati. Outer ring road ambayo ndio ya muhimu zaidi na ambayo itakua funded na ADB bado ipo kwenye plan. Na outer ring road ndio muhimu zaidi ku route big trucks traffic ya zile njia nne kubwa kutoka nnje ya jiji bila ya...
Duu! Hitilafu kwenye mfumo wa mawasiliano ni jambo la kawaida? Je backup systems, turn around times na business continuity ni kitu gani? Mbona nchi za wenzetu mifumo sio rahisi kuanguka? Kwahio sisi mifumo yetu ina utofauti gani na hio mifumo ya teknologia kwingine?
Zimekuwepo proposals za Dar es salaam Commuter rails and feasibilities kadhaa zimefanyika.
Example:
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/business/trc-eyes-six-commuter-railway-networks-in-dar-2704758
Na pia basi likiharibika njiani, refund inaweza fanyika kwa watu wote kwenye simu zao au hio safari data zote zikaingizwa kwenye basi litalo kuja wabeba nakadhalika. Digitali uwezekano auna kikomo, ni jinsi tu zile program walivyo zi seti, kila kinacho itajika kinaweza fanyika au ongezwa kwenye...
Kuna kitu kinaitwa Mobile POS, hio inaweza kua popote kwenye gari na njiani watu wakipanda, wanakatiwa tiketi popote pale. Sijui kama hii nayo itatatumika, lakini ndio ilivyo. Huu mfumo mzuri sana, ni watu tu kutoelewa.
Pia inasemekana kesi ya kwanza ya Corana China imerepotiwa 17 Novemba 2019. Hii imeandiwakwa kwenye tovuti nyingi kwenye net:
First Covid-19 case happened in November, China government records show - report
Kwahio kuna uwezekano mkubwa ilikua inasambaa chini kwa chini kabla kufahamika...
Coronavirus ni aina ya ugonjwa umegundulika zamani sana. Lakini inategemeana kila ukiibuka unakuja kinamna yake na makali yake. Ni gonjwa lipo kwenye wanyama na pia uwa inaweza kuwaibukia wanadamu kama aina za Coronavirus zilizo athiri wanadamu myaka ya nyuma ni kama SARs na MARs ambazo mdau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.