Barbara nyingi jijini ni mbovu mfano kibamba kwa mangi ukielekea kwa mpemba au mdidimua sijui hata kama manispaa wanajua
Mie binafsi hata sielewi diwani wa huko anamuwakilisha Nani.
Ningekuwa ni mapenzi yangu huyu diwani akija omba kura tena afukuzwe
Hivi sasa hivi kuna mgao unaendelea nchini? Maana maeneo ninayoishi shinyanga kila jumapili saa moja kasoro umeme unakatika kurudi sijui saa ngapi maana inakuwa usiku mwingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.