ELISA MUHINGO'
Nilipokuwa nafanya kazi mbeya niliwahi kuambiwa na mzee mmoja kuwa ukitaka kumtambua mtu kuwa huyu ni mwanamme kiukweli mpe pombe akalewe kwanza. Hapo utajua kama akilewa anajiheshimu, anabwatuka hovyo au anakuwa na tabia gani (mengine sisemi maana sitaki kuhusishwa na...
Utangulizi :
Jarida hili la Mheshimiwa Chacha Zakayo Wangwe lina sehemu
tatu. Sehemu ya kwanza litaweka bayana na kufafanua sababu
za mimi kuchafuliwa kisiasa na baadhai ya viongozi wa ngazi
za juu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, na
sehemu ya pili itaonyesha baadhi ya...
Mpuuzi ni wewe unayedhani michezo siyo muhimu. Majura kasema kipaumbele michezo lakini haimaanishi kuwa kaacha vingine. Ni kwasababu ujui michezo ikiendelezwa vizuri inavyoweza kusaidia kutatua tatizo la ajira na kuingizia taifa fedha nyingi ndiyo maana unakurupuka
jembe hilo likipokelewa. ni wazi kuwa jamaa ataiboresha nchi akipewa nafasi na watu wanaimani nae
Magufuli defends roadwork workmanship
THE Minister for Works, Dr John Magufuli.
THE government has defended the...
"Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. NaaminiMkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini.
Nadhani alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa...
Wadau,
Baniani mbaya kiatu chake dawa! Pamoja na maneno ya kejeli yalitolewa kwa Paul Makonda wakati anateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, lakini ameonesha kuwa ni mweledi na anaijua kazi.
Leo kawaita vijana waliomaliza vyuo na kujadiliana nao kuhusu tatizo la ajira, ambapo vijana wameambiwa...
Mimi nashindwa kuelewa ivi inakuwaje kiongozi wa upinzani Anapokuwa na urafiki na kingine mwingine wa chama tawala anaitwa msaliti hadi anafukuzwa kwani siasa ni uadui
?
duuh1 KAMA MALI ZILIZOTAJWA ZOTE NI ZAKE BASI IPO HAJA YA HAWA VIONGOZI WA DINI WAKAWA WAKIANGALIWA MARA MBILI MBILI MAANA NCHI INALIA NJAA HATUWAONI WAKITOA MISAADA YA KUELEWEKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.