Magufuli akikataa barabara iliyojengwa chini ya kiwango. Straight to the face hakuna aibu katika maendeleo namuombea Mungu hekima achague majembe wenzake akiwemo Mwakyembe,Prof Muhongo,Deo Filikunjombe,Ester Bulaya,Makongoro Nyerere. Hawa watasaidia kuharakisha maendeleo na Watanzania muda sio mrefu watakula kuku kwa mrija.
Last edited by a moderator: