Recent content by Simba Mwepesi

  1. S

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Ali Kibao amekamatwa kwenye halaiki mchana, wanasema tunyamaze? Uovu lazima tuukemee!

    Mbegu yako Bora Baba yao angemwaga nje kuliko kuleta mtu asiyejitambua. UHAI WA MTU HAUANGALII DINI WALA KABILA. YOU SHOULD BE ASHAMED OF YOURSELF
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hivi wanasayansi wetu wanafanya nini huku tunategemea dawa ya mbu wa malaria itoke Malaysia na China?

    Kwa lugha uliyotumia malalia huo ugonjwa hamna hapa kwetu labda ni mpya. Kama ni Malaria, tafiti zipo nyingi tu ingia mtandaoni tafuta utaona.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania yangu ninayo iwaza akilini mwangu

    Tanzania nchi yangu. Nimekuwa kwako toka nimezaliwa mpaka Sasa Nina wajukuu. Mengi nimejionea na kila uchaguzi mengi nayaona. Mazuri yapo na mabaya pia Ila siku zote tumeweza kuvumiliana bila kuvunjiana adabu wala miiko. Natamani iwepo kamati itakayo simamia malengo ya nchi ya muda mrefu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kuthibitishwa Kazini?

    Barua yako ya ajira inasemaje kuhusiana na kipindi Cha probation?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Wenye nyumba mtuhurumie aisee

    Pole mdau .hapo ni kuenda kujenga tu kuepukana na kero za hiyo nyumbani..ukishindwa nenda kapange kwingine
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa serikali kuwapima wanafunzi UKIMWI na MIMBA

    Lengo la kuandika hivi ni Nini hasa? Kuonyesha akili yako ilivyo ndogo Kama akili za mbu mpenda damu. Waathirika wawekewe alama we umeona wapi hili likifanyika?? Wakishawekewa kufuatacho ni Nini?? Acha kuwa na mawazo mgando kichwa Maji wewe..shahawa zako ulizopatiknana wewe Bora bab yako...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Good afternoon

    Huo ni utapeli wa kiwango Cha lami.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Good afternoon

    Huo ni wizi..kitu chenyewe hata 50000 hakifiki..nyie mnafanya 150,000?? Halafu deedpoll inatolewa na wizara ya ardhi..wewe ni nani wizarani??
  9. S

    JamiiForums Tanzania Shuleni kwa mwanangu wanatozwa Tsh. 300 ya usafi kwa mwezi, kwa shule nzima ni pesa nyingi

    Sasa wewe 300 unalalamika kweli?? Ingekuwa buku wewe si ungeandamana kweli?? Cha msingi hudhiria vikao vya shule na ukapinge hizo ajenda huko. Huku tutakuona hamnazo tu
  10. S

    JamiiForums Tanzania KERO Ubovu wa Barabara ya Mwandege-Mkuranga!

    Habari wanajukwaa. Leo nimekuja mbele yenu kuleta mada ihusiyo ubovu wa Barabara ya mwandege-mkuranga. Barabara hii ni muhimu kwa mikoa ya kusini kutoka Dar. Kwa kweli barabara hii imejaaa makorongo na mabonde( tunaweza hata kufugia samaki). Kadhia tunayopata wasafiri wa njia hiyo ni kubwa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Generali Yoabu kumuua Generali Abneri bila ruhusa ya Mfalme Daudi ni kielelezo kuwa kuna Matukio hutokea Rais hahusishwi au hajulishwi

    Laana ilianza toka watu wa Israel walipotaka kuwa na mfalme. Waliambiwa Sifa za mfalme zitakuwaje na wakatii. Leo sishangai wanachokifanya watawala wetu maana kiliandikwa. Na maandiko hutumia kwa njia Moja au nyingine.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kijana wangu anaongea vitu havieleweki, atakuwa na tatizo gani?

    Pole kwa changamoto hii unayopitia. Mpeleke mtoto hospital ya karibu yenye wataalamu wa afya ya akili, Hawa watawasikiliza na kuwapa ushauri Bora wa Nini mfanye kuepukana na hili au kupunguza hiyo kadhia. Wataalmau Hawa wapo kuanzia hospitali za wilaya, mkoa na rufaa. Ni vituo vya afya(Health...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Sahihi Ila mtoa mada alisema haina riba.. kwa hiyo nikamkimbusha riba ipo.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Riba ipo kaka. ni asilimia 4 Kama sikosei
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hivi Mikopo ya Hazina kwa Watumishi wa Umma inachukua Muda gani Kupewa?

    Pole mdau..hiyo mikopo Huwa wanagawana halmashauri kwanza zikibaki makombo ndio wanapewa walioomba connection. Na ukipata sio kile kiasi ulichoomba. Nenda benki kakope maisha yaendelee. Hiyo ya hazina waachie halmashauri na watu wao
Back
Top Bottom