kabla hatujaanza hizi siasa tunapaswa kujijenga kisaikolojia kuwa mambo haya yanayo tokea kwa wapinzani yanaweza kutokea kwa mtu yeyote. CHAMA chochote cha upinzani katika nchi yenye chama tawala chenye ufisadi mwingi, matumizi ya nguvu ni jambo la kawaida sana (mfano mzuri hapa Tanzania.)...
Kichwa cha habari ni tofauti na ulichokiandika ndani unaweza kujipanga vizuri?
Maana Roman Cathoric sio Taasisi ndogo kama unavyo fikiria, na Kilaini ni sawasawa na tone la sukari Baharini
hawezi affect chochote katika muenendo wa Kanisa Duniani, Waumini wake hawahesabiki dunia nzima na Roman...
Wana TAPOFOR hivi munalijua Lumbesa?
Lumbesa ni gunia ambalo limejazwa vitu halikutosha wakaongeza kipande kingine kwa juu ili liweze kubeba vitu vingi. Sasa ukiangalia katika list ile iliyo Tajwa na bwana Zitto, kuna jamaa mmoja kachukua kingi sana (kubwa la maadui) je yeye ndo alibeba Lumbesa...
Mimi nimesikia pia Tibaijuka, Muhongo na Beno Nduru wataachia ngazi hivi punde sasa najiuliza CCM ndo munataka kucheza kalata ipi kwa kuwatoa kafara hao? sisi tunataka waende Mahakamani wafilisiwe hapo ndipo tutaona aki imetendeka, lasivyo hata hao watateuliwa na Mkulungwa wataiba tu.
Sasa huyu ,wemyekiti mbona anafanya haya mambo kama yuko na familia yake tu. Sasa mjadala jioni ndo nini ili iweje sasa. wakati sisi tunasubiria sasa hivi tujue mbichi na mbivu? HAWA CCM mbona siwaelewi
Anataka aje jione aseme kuna katazo kutoka Mahakamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.