Lakini katika hali yakawaida haiwezekani kwa mtu anayeogopeka na kuheshimika kiasi hicho mtu akawa hana tension na mke wake!!!! Mimi nahisi kuna ukweli umejificha tutaendelea kujuzwa kitakachoendelea tupate ukweli.
Duuuh!!! Mwanamke inaonekana alikuwa hapendi urafiki wao na ndiyo maana akatafuta sababu kuwachonganisha matokeo yake matatizo yamemfika yeye na familia yake... R.I.P Alkado
Ndugu zangu habari ya weekend.... Kuna matapeli walitoa matangazo ya kazi kwa kivuli cha mgodi wa Shanta mining, nami pia ni mmoja wapo niliyeomba nafasi tangazo nililiona njombe. Leo wamenipigia simu wanasema niwatumie laki moja na nusu (150,000) kama ada ya majibu... Wakati naendelea kumhoji...
Ndugu zangu habari ya weekend.
Kuna watu walitangaza kazi za mgodini mgodi wa shantamining Songea na tangazo hilo nililiona Njombe nami pia nikaomba kazi. Leo wamenipigia simu kwamba niwatumie laki moja na nusu (150,000) kama ada ya kujibiwa sasa sikuelewa kujibiwa nini. Nilipoendelea kuwahoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.