Ninavyojuwa Mimi ni kwamba Maadili ya Uchaguzi yanasainiwa INEC lakini waliomuengua mpina ni Msajili wa vyama vya siasa kwa hiyo hapo tuweze kutofautisha
Hivi vijana wa nchi hii ndio mnakuwa slow hivi kuelewa mambo? Kwanza Tume imegawa Magari kwa wagombea wote ili kuweka uwanja sawa wa Kampeni kwa wagombea wote manake sio wote wangeweza kufanya Kampeni kwa Tume imewapa gari na dereva na watawekewa na mafuta muda wote wa Kampeni. Jambo la DED's...
Hao ni wahuni tu kama wahuni wengine serikali inafanya mabadiliko wao wanakusanyana kubwabwaja bila kutoa majibu tunapaswa kuridhika na mabadiliko yaliyopo ndio tuendelee kudai mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.