Recent content by Silent Echo

  1. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania “Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?”

    Kwenye kuoa apo it depends na goals zako , why ulioa ( kwa matamanio au kutaka ndoa iwe daraj la uchumi wako ) so inategemea na ulivoitumia ndoa kweny daraj lako la kiuchumi
  2. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania “Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?”

    Na kamari imekua ni janga kubwa kwa vijana hususani 18-25 years apo
  3. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania “Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?”

    No, wapo vijana wengi sana japo ni wa kipato kidogo lkn kipato hicho hicho licha ya kua kidogo bado anakifanyia makosa eg. kuwekeza kwenye pombe, wanawake,betting and more
  4. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania “Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?”

    Then mwisho wa siku tunajfunza kuwa makosa tuliyofanya in the past ni kama bridge to the future
  5. Silent Echo

    JamiiForums Tanzania “Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?”

    Nimegundua kwamba wengi wetu tulipokuwa kwenye umri wa ujana hadi utu uzima wa mapema tulifanya maamuzi ya kifedha ambayo wakati huo yalionekana sahihi, lakini leo tunatamani tungekuwa na maarifa tuliyonayo sasa. Wapo waliotumia mishahara yao yote kwenye starehe, wakakopa bila sababu za msingi...
Back
Top Bottom