Kwenye kuoa apo it depends na goals zako , why ulioa ( kwa matamanio au kutaka ndoa iwe daraj la uchumi wako )
so inategemea na ulivoitumia ndoa kweny daraj lako la kiuchumi
No, wapo vijana wengi sana japo ni wa kipato kidogo lkn kipato hicho hicho licha ya kua kidogo bado anakifanyia makosa eg. kuwekeza kwenye pombe, wanawake,betting and more
Nimegundua kwamba wengi wetu tulipokuwa kwenye umri wa ujana hadi utu uzima wa mapema tulifanya maamuzi ya kifedha ambayo wakati huo yalionekana sahihi, lakini leo tunatamani tungekuwa na maarifa tuliyonayo sasa.
Wapo waliotumia mishahara yao yote kwenye starehe, wakakopa bila sababu za msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.