Nambie website moja ya scholarship, nambie scholarship yoyote na hata link moja unayoijua Kuongea ni Rahisi Uliambiwa scholarship inatafutwa Kwa Masaa 10😅😅 Masaa 2 yanakutosha ku apply kama Link unayo na ukaendelea na shughuli nyingine Na Kama unatafuta michongo Google Bas You are entirely stupid
Bado hujajua deal zote, Biashara zote, na kazi Zote Pengine fahamu hivi Kuna kazi,Shughuli, na deal nyingi zinazokuwa impacted na Siasa na Kila kitu kinacho Husu siasa Dunia ni kubwa... Kuna Mtu anatumia Umbeya Kuingiza Ela,
Mzee yule na mtoto wake walipewa kesi isiyo bila Ushahidi wala vidhibiti vya ushahidi ila Kwa waliofahamu familia ile mwanamke huyo aliekuwa na mahusiano na seya alikuw na mahusiano na mtu mwingine mwenye Nguvu ndio sababu seya alipotezwa Na Magufuli apumzike kwa amani alijua seya hana makosa...
Swali ni JPM kafanya mangapi ndani ya miaka 5 na miezi 5 hadi akafariki??
Kwa miaka aliyokaa Kwenye Kiti Cha Uraisi JPM hakuna mfano Wake Huo ndio Ukweli ALIHESHIMISHA FEDHA HAPA NCHINI TULISAHAU JERO TUKAITA MIA 5
NA MASKINI HAWAKUNYANYASWA NA MATAJIRI NA VIONGOZI WALIJUA WAJIBU WAO KUTEKELEZA...
ccm inakazi moja tu nayo nikumsfia mwenyekti wa chama hiko hakuna kingine ndio sababu
Mpina alipoongea wananchi tu ndio, waliokuwa wanapiga makofi
na samia alipoongea wabunge na chawa tuu ndio waliopiga makofi..
what do u mean mpina ameshindwa ku "accomplish" ulitaka kumaanisha mpina ameshindwa kusifia walichofanya serkal kwnye jmbo lake?
NIGGA KAZI YA MBUNGE SIO KUSIFIAA SEREKALI INAFANYA WAJIBU KAMA UNAVYOFANYA WAJIBU WAKULIPA KODI...
NDIO MAANA MKIPEWA VI TOKEN MNAFURAHI MNASHNDWA KUELEWA TULIPASWA...
KWA HIO NI MARA YA KWANZA KUMSKIA MPINA AKIONGEA JUU YA WANANCHI WA KISESA KUTAKA ENENO HILO LIWE WILAYA KWANI LINAKIDHI KUWA WILAYA??
RAISI KAKURUPUKA KUONGEA YALE MANENO ANGETAFUTA KURA KWAKUMJIBU VIZURI
UNAHISI MPINA TU NDIO ALIEKUWA ANASUBIRIA JIBU LAKE
HADI WANANCHI WA KISESA WALIKUA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.