Recent content by sikwedawaz

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki gani walifunga?

    Matayo 6:16-18 Mafundisho Kuhusu Kufunga 16 “Mnapofunga, msionyeshe huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kujionyesha. Nawaambieni kweli kwamba wao wamekwisha kupata tuzo yao. 17 Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kuosha nyuso zenu 18 ili kufunga kwenu...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu alishindwa Ubunge Kinondoni na Zanzibar, sasa atakuwa Rais wa nchi gani? Chaumma imejifia kirahisi mno!

    hapo ilikuwa vipi👇👇 Jamaa angekuwa makamu then lolote lingetokea angekuwa presidar😂😂
  3. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwanini Bunge lifungwe Leo, na kuvunjwa Aug 3, 2025? Kwanini isivunjwe Leo?. Is Yes Reforms, Yes Election Coming?

    Shughuli za Bunge zimehitimishwa leo..27/6/2025 👇👇👇👇 Bunge linavunjwa rasmi kwa tarehe inayotangazwa kwenye gazeti la serikali....3/8/2025.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wanasheria nn sababu ya bunge kuvunjwa tarehe 3 August na siyo leo?

    Shughuli za Bunge zimehitimishwa leo..27/6/2025 👇👇👇👇 Bunge linavunjwa rasmi kwa tarehe inayotangazwa kwenye gazeti la serikali....3/8/2025.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Video: DC Bomboko huku ni Kujidhalilisha, Si kila mtu ni mwoga. Haya sasa unajisikiaje?

    hapo vipi👇👇 "I will take you with me" generally means the speaker will accompany the person they are speaking to on an upcoming trip or activity, or that they will include the person in something they are doing. It implies a promise or an intention to have the other person join them.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tunaposema elimu ya Watanzania ni ya hapa na pale muwe mnaelewa

    Naona dawa imeingia 💉💉💊😂hadi umesahau swali lako 👇👇👇 Uliza hao wamesoma lini na wapi halafu uje kuharisha hapa!
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tunaposema elimu ya Watanzania ni ya hapa na pale muwe mnaelewa

    Dunia inawatambua na ukweli unaujua 💉💉💊
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tunaposema elimu ya Watanzania ni ya hapa na pale muwe mnaelewa

    Eti kwa zamu na kampeni😂😂Bila Kiwango cha Elimu unapataje hizo nafasi za kimataifa....
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tunaposema elimu ya Watanzania ni ya hapa na pale muwe mnaelewa

    hapo vipi...👇👇👇 1.Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU)- Dr Tulia Ackson- Tanzania. 2.Mkurugenzi Shirika la Afya duniani(WHO) Kanda ya Africa- Professor Janabi - Tanzania. 3.Dr. Zarau Wendeline Kibwe - The Executive Director for the World Bank's Africa Group 1.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akiwa Uganda amemsifia Mwalimu Nyerere lakini ni yeye ndiye aliyemtukana kwenye Bunge la Katiba

    “Only stupid people don’t change their minds.” — Boutros Boutros-Ghali
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe Waislamu wanafaidi sana kuswali swala 5 kila Siku, Mimi nimeanza kwenda Church Mara 3 kwa Siku nimepata Amani sana!

    hapo vipi 👇👇👇👇 Mathayo 25:13 “Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa"
  12. S

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Huu ndio Uchawi wa Yesu wakusanya watu milioni moja KAWE

    Hapo vipi 👆👆👆👆
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wazee waliojitolea kuchangia kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Hao baadhi ya waliochangia... 👇👇👇👇 wazo liliwasilishwa na katibu mkuu wa TANU wakati ule Mzee Amos Kesenge.. “people of Tanganyika are the ones with thirst and hunger for education. Education is the key in the development of people’s life in this country and for a better national development...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wazee waliojitolea kuchangia kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni chuo kikuu kikongwe na kikubwa nchini Tanzania. Kilianzishwa mwaka 1961 kama tawi la Chuo cha Chuo Kikuu cha London kwenye jengo la ushirika mtaa wa lumumba, na mwaka 1963 kilikuwa sehemu ya Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (University of East Africa)...
Back
Top Bottom