Tumia busara wakati unataka kufanya maamuzi ambayo yamebeba watu wengi nyuma.Hivi umewai kujiuliza faida ya maamuzi yako uliyoanza kuyatekeleza? Au pengine umewai kuona watoto wake ambao wanashiba kwa hela ya Baba unayetaka kumuharibia? Ushauri wangu kwako usije kutumia mapungufu ya mtu kwa...
Tunis busara wakati unataka kufanya maamuzi ambayo yamebeba watu wengi nyuma.Hivi umewai kujiuliza faida ya maamuzi yako uliyoanza kuyatekeleza? Au pengine umewai kuona watoto wake ambao wanashiba kwa hela ya Baba unayetaka kumuharibia? Ushauri wangu kwako usije kutumia mapungufu ya mtu kwa...
Huyo mtoa kauli ya kibaguzi amesomea wapi elimu yake ya kislamu? Pengine kasomea katika nchi za Afghanistan,Pakistan ama Somalia.Kwa maana hiyo lazima awe na msimamo anao Amini yeye.Lakini huyu si wakumpuuza ni wakumfahamisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.