Hongera wana arumeru kwa kuelewa kilichofanyika mbulu, karatu, moshi, hai, rombo nk. Ila Tusipoteze mwelekeo wa mjadala kuhusu CCM kwa kumtoa Lowasssa kafari. Ukisoma vizuri historia za makundi, teams na vyama vinavyoongoza ama sera aubitikadi, huwa vinachokwa inapofika mzunguko wa nusu karne...