Recent content by Sigam

  1. S

    TRA: Askofu Kakobe hana fedha wala akaunti binafsi ila Kanisa lina akaunti yenye Sh. Bilioni 8.1; amemwomba Rais radhi

    INAONEKANA TRA WALIKUWA NA 'USONGO' NA ASKOFU MKUU KAKOBE Nimepokea taarifa kuhusu uchunguzi wa TRA dhidi ya Askofu Kakobe. Nawashukuru kwakuweka mambo hadhani. Awali tulielezwa kwamba TRA wanamchunguza kiongozi hiyo ili kujirizisha kuwa analipa kodi au LA kufuatia kauli yake kuwa ana pesa...
  2. S

    TRA: Askofu Kakobe hana fedha wala akaunti binafsi ila Kanisa lina akaunti yenye Sh. Bilioni 8.1; amemwomba Rais radhi

    INAONEKANA TRA WALIKUWA NA 'USONGO' NA ASKOFU MKUU KAKOBE Nimepokea taarifa kuhusu uchunguzi wa TRA dhidi ya Askofu Kakobe. Nawashukuru kwakuweka mambo hadhani. Awali tulielezwa kwamba TRA wanamchunguza kiongozi hiyo ili kujirizisha kuwa analipa kodi au LA kufuatia kauli yake kuwa ana pesa...
  3. S

    Tetesi: Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM

    Taarifa zilizopatikana wapi? Na mwingine naye akija humu na taarifa zake za wao kutorudi CCM itakuwaje?
  4. S

    GE2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

    Zinamalizwa na nini? na kwa vipi?
  5. S

    Nani kampa Lowassa Cheo cha 'Kiongozi Mkuu wa UKAWA'?

    Akiwa kiongozi mkuu wewe kinakuuma nini?
  6. S

    Rais John Magufuli afanya Ziara ya ghafla kwenye Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)

    Hivi anamshitukizia nani na kusudi la kushitukiza ni nini hasa?
  7. S

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Wakisubutu kumhamisha pale wataharibu kabisa!
  8. S

    Lowassa asababisha timua timua ITV

    Haswaaaaa!
  9. S

    NBS yasema Kingunge ni muongo, Thamani ya pato la taifa imeongezeka

    Uchumi wa nchi lazima uendane na maboresho ya maisha ya watu, sio ngonjera
Back
Top Bottom