Recent content by Sifi Leo

  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mtu kwao bhana! Tabasamu la Rais Samia akiwa zenji, hajawai lionesha akiwa bara tangu alipoapa kuwa Rais, nais lipo jambo.

    Mpo wengi, hivi zanzibar raia wanafika 10m?
  2. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Hiyo si ni kampuni ya mtoto wa kigogo?cc January makamba
  3. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Enzi za jiwe, tuliogopa kuchunguza vyeti "FEKI" kwenye majeshi yetu, kuofia kutengeneza majambazi mtaani, Nina wasi wasi huyu shahidi na yule alie kuf

    Yes, mwanamke alijitokeza hadharani alidai mumewe aliisha kufa huyu anae TAJWA ni nani? Na katoka wapi? Kuna posibility mmoja alifoji vyeti maana majina ni yake yale
  4. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Enzi za jiwe, tuliogopa kuchunguza vyeti "FEKI" kwenye majeshi yetu, kuofia kutengeneza majambazi mtaani, Nina wasi wasi huyu shahidi na yule alie kuf

    Enzi za jiwe tuliogopa kuchunguza vyeti FEKI kwenye majeshi hasa jeshi la polisi, ILA Nina wasi wasi huyu shahidi Amini Mihamba kwenye kesi inayomkabili Tundu Lissu Kuna mmoja alikuwa anesoma na mwingine alifoji vyeti. Kwa kuwa wa kwanza aliushafariki, na kwa jinsi utetezi wa huyu aliyehai...
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kuna Maisha Nyuma ya Hizi 'ID' Zetu, Tusiache Kupendana ❤️

    Umeanza Sasa,nasema umeanzaa Sasa, Mwashambwa kumanyokooooo
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mtu kwao bhana! Tabasamu la Rais Samia akiwa zenji, hajawai lionesha akiwa bara tangu alipoapa kuwa Rais, nais lipo jambo.

    Mwenyezi Mungu Baba alituumba kwa mfano wake yeye mwenyewe, hii sio KAULI yangu ni ya Mungu mwenyewe, nenda kasome maandiko matakatifu. Sambamba na kufanana nae, pia alimpa mwanadamu akili za kutawala viumbe vyote ILA hapo si kwamba ukiwa Rais UNAKUWA na akili kuliko mpaka viumbe wenzako yaani...
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Pole sana Sifi Leo kwa hisia hizi nzito unazopitia. Nimekusoma vizuri na naelewa kabisa jinsi unavyojisikia, kuona mambo kama haya yakijitokeza mahakamani kunaweza kukatisha tamaa na kuleta maswali mengi. Ni kweli kabisa, ni vigumu kuona taasisi zetu zikipitia nyakati kama hizi. Lakini pengine...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio

    Ikulu ijibu SWALI langu, Mnasubilia hizi aibu zinazoendelea mahakamani zifike ikulu? Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio, Lakini unashangaaa anaulizwa maswali madogo.sana anajibu utumbo mtupu hii aibu mnataka ifike...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Baada ya tamko la maazimio ya kikao kati ya Mababa Askofu na Rais Samia,Sasa nashauri Samia awaite ccm wadai katiba mpya na maaskofu tuiteni Catholics

    Tafuteni walikuwa live acheni kupenda kumegewa kila kitu mtamegwa na nyinyi
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Baada ya tamko la maazimio ya kikao kati ya Mababa Askofu na Rais Samia,Sasa nashauri Samia awaite ccm wadai katiba mpya na maaskofu tuiteni Catholics

    Nimefurah SANA Sana kusikia Baraza la Maaskofu kupitia Rais wao Tec akitoa maazimio ya kikao kilichofanyika ikulu ya DODOMA Kwanza nawapongeza maaskofu pamoja na Rais kwa kuridhiana. Dhidi ya waliyoyatamka. Nimefurah kukubaliana yakuwa 1. Wakuu wa VYOMBO VYA majeshi wote wawajibike au...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Nina Imani na TEC nasubilia mrejesho kutoka kwa Faza Kitima mmejadili Nini na Rais? Je yupo tayari kukili?

    Leo TEC imekutana na Rais ikulu ya DODOMA Tunaomba mrejesho,? Naomba KUJUa Faza Kitima kama umemuuliza amili kesho mkuu mlinzi wa Raia na mali zao, walio taka kukuaau VYOMBO vyake vimefikia wapi?
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Naumizwa na ujinga huu, nifanyeje? Mtu kama Balile anashindwa kujibu SWALI la Kharifani wa the CHANZO real? Hakuna kitu kibaya kama kusoma ushakuwa

    Miaka mingi iliyopita nikiwa nimehitimu elimu ya juu, nilikutana na Dada mmoja naomba nimtaje anajulikana kwa JINA la ivone Kamuntu, Dada huyu Mimi nilisoma nae o level pale Airwing, tulifaamiana maana wote tulikuwa serikali ya wanafunzi naweza sema yeye alinujua sana Mimi maana Mimi zama zile...
Back
Top Bottom