Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA?
Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi?
Mbowe alifungwa miezi 8 Bado hakuikita imekufa, Lissu alipigwa risasi 32, bado CHADEMA wamo tu...
Rais hataniwi kamwe,
Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani.
Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha Nini?
Itumieni kwa baba yenuuuu
SI wengine Wala sipepeshi macho. Ni Bensoni Bagonza na Proffesa Anna Tibaijuka Nina hakika Dr Samia anawachukia mno kisa wanamshauri ukweli ila hao ni zaidi ya Baraza lake la mawaziri ambao hawana uwezo wa kuusema ukweli
Je Nini kifanyike kuwa na wahaya kama Hawa 100 tulikomboe taifa kutoka...
Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini.
Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume...
Broo,juzi nilikuwa kwa KANISA Moja la kilokore, tukaambiwa tuandike maombi kwa Mungu alafu tuyapeleke mbele mazabauni, Mzee nikikaa na pis Kali kinoma nikachungulia maombi ILIYOKUWA inaandika yalikuwa kama ifatavyo
1.naomba mume
2.naomba KUMALIZIA nyumba yangu
.3. Mungu nisamehee nilitoa mimba...
Wewe unajua yakuwa kama sio mzanzibari uruhusiwi KUMILIKI ARIDHI zanzibari?
Vitu ambayo mtanganyika mailiki zanzibari ni 2.
Sehemu za siri za kike wa zanzibari+ ARIDHI
Sehemu za siri za kike za zanzibari wao wapo tayari KUKUPA Tako ila mbele marufuku
Sijajua kama kama kwa mujibu wa CCM, MAKAMU Mwenyekiti kama ana mlinzi ila hata kama anapewa ulinzi, huyu niliemuona chato akiwa amemshikilia Mzee Wasira mikono sio mlinzi ni mshika mikono tu.
Nina wasiwasi Mzee Wasira anaona aibu kushika mkongojo ishara ya uzee, je uzee unakimbiwa? Jibu ni...
CCM haitaki kubadilika kulingana na nyakati, Kassimu Majaliwa nyota yake haijafifia hata iweje bado inang'ara sana hata km CCM na Samia mnajitaidi kuizima.
Mlinzi wake nimekuona umeanza kubweteka, take care man. umeilinda hazina ya nchi system soon itatoa majibu.
Tumekuona baada ya miaka 5, tumekusikia nadhani UNADHANIA aliyekuhoji no dampa,
Tafakari chukua hatua NAKUHAKIKISHIA Iko siku utajibu ilo kwa kiufasaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.