Ni Tukio nisilo weza lisaau kamwe kwenye safari ya Maisha yangu ya kuisaka Elimu
Na natamani siku moja Dr Alex Malasusa akipata nafasi ya kukutana nami au kama anayo nafasi kupitia hapa Jamii forum maana najua watu wake wa karibj ni Member wenzangu wamfikishie ujumbe huu aniombe radhi mimi na...
Hizi sifa anazopewa Rais wa Tanzania zinamsataili?
Kila uchwao tunasikia Rais ametoa pesa za mradi fulani, mara Mradi fulani nauliza Rais wetu hizo pesa anazitoa wapi zaidi ya kodi zetu?
Kama ni kodi zetu kwa nini sifa apewe yeye wakati kazi yake ni kutunza kibubu cha fedha tunazo lipa kodi...
Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote?
Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua wale ilio watema mwanzoni.
Hii haitoshi kudhibitisha hilo?
Kuna taarifa inasambaa mitandano kutoka kwa Kamishina wa Uhamiaji mkoa wa Manyara alijulikana kwa jina Kyetema akidai yakuwa hakuna uhusiano kati ya Gari, Dereva na Bendera ya CCM ya mtumiwa wa kusafirisha waethopia 20.
Kyetema kwa nini unatema nyongo hisiyotemeka?
Hivi kwa gari hiyo ungekuta...
Sioni tija ya nafasi ya Umakamu wa Rais hata anapotishia kujiuzulu kisa maji yasipofika Wilaya ya Mwanga na kwingineko.
Je, mdau wewe unaona tija ya kiti cha Makamu wa Rais?
Nukuu ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango
“Kila mmoja anayehusika katika mradi huu atimize wajibu wake, na mimi...
Serikali sijui mna waza nini dhidi ya historia nzuri za watu hawa kwa waliyo yafanya enzi za uhai wao hapa Duniani. Ni kweli Dr Samia na viongozi walio pita mmejenga malaibrary ya wapendwa wetu huko waliko zikwa
Lakini ni.watanzania wangapi watafunga safari kutoka Sumbawanga,katavi au hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.