Recent content by Sifi Leo

  1. Sifi Leo

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    Kafulila limekuwa jizi baada ya kuamia ccm, ndio maana kassimu alikuwa analichapia mbususu ya mkewe
  2. Sifi Leo

    Kama penzi liotalo moyoni hufa kwanini CHADEMA haifi?

    Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA? Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi? Mbowe alifungwa miezi 8 Bado hakuikita imekufa, Lissu alipigwa risasi 32, bado CHADEMA wamo tu...
  3. Sifi Leo

    Rais hataniwi, Wakenya mwacheni mama yetu tumieni AI Kwa ajili ya baba yenu

    Rais hataniwi kamwe, Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani. Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha Nini? Itumieni kwa baba yenuuuu
  4. Sifi Leo

    Nina wasiwasi Samia anawachukia Hawa wahaya ila wao wanampenda ndio maana wanamsema

    SI wengine Wala sipepeshi macho. Ni Bensoni Bagonza na Proffesa Anna Tibaijuka Nina hakika Dr Samia anawachukia mno kisa wanamshauri ukweli ila hao ni zaidi ya Baraza lake la mawaziri ambao hawana uwezo wa kuusema ukweli Je Nini kifanyike kuwa na wahaya kama Hawa 100 tulikomboe taifa kutoka...
  5. Sifi Leo

    Mungu atakuwa wa ajabu kupokea sala ya ambaye anamuweka mtu jela akidai muhaini na huku hana kosa

    Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini. Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume...
  6. Sifi Leo

    Napitia kipindi kigumu sana, naomba msaada wenu wana JamiiForums

    Huyo hasomi chuo yupo vidudu Au chekechea pumbafu
  7. Sifi Leo

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Sasa kama unasura. NZITO kama dodoki la kichaga UNATEGEMEA Nini?
  8. Sifi Leo

    Dini imetekwa na miujiza

    Broo,juzi nilikuwa kwa KANISA Moja la kilokore, tukaambiwa tuandike maombi kwa Mungu alafu tuyapeleke mbele mazabauni, Mzee nikikaa na pis Kali kinoma nikachungulia maombi ILIYOKUWA inaandika yalikuwa kama ifatavyo 1.naomba mume 2.naomba KUMALIZIA nyumba yangu .3. Mungu nisamehee nilitoa mimba...
  9. Sifi Leo

    Wakuu naombeni msaada wa kisheria& ushauri tafadhali

    Wewe unajua yakuwa kama sio mzanzibari uruhusiwi KUMILIKI ARIDHI zanzibari? Vitu ambayo mtanganyika mailiki zanzibari ni 2. Sehemu za siri za kike wa zanzibari+ ARIDHI Sehemu za siri za kike za zanzibari wao wapo tayari KUKUPA Tako ila mbele marufuku
  10. Sifi Leo

    Kifo cha Uaminifu: Madhara ya Kuminya Habari na Mtego wa "Content Creators"

    Tanzania hatuna critiko thinker katika media Kuna ushuzi TU hacha ubinywe
  11. Sifi Leo

    Kiwanja kinahitajika Goba

    Mi Nina nyumba full kabisa
  12. Sifi Leo

    Mzee Wasira usione aibu shika mkongojo, sio unashikwa mikono wakati wa kutembea kama anayeimbiwa "Asimama peke yake amwona nchumba ake"😝🤣.

    Sijajua kama kama kwa mujibu wa CCM, MAKAMU Mwenyekiti kama ana mlinzi ila hata kama anapewa ulinzi, huyu niliemuona chato akiwa amemshikilia Mzee Wasira mikono sio mlinzi ni mshika mikono tu. Nina wasiwasi Mzee Wasira anaona aibu kushika mkongojo ishara ya uzee, je uzee unakimbiwa? Jibu ni...
  13. Sifi Leo

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    CCM haitaki kubadilika kulingana na nyakati, Kassimu Majaliwa nyota yake haijafifia hata iweje bado inang'ara sana hata km CCM na Samia mnajitaidi kuizima. Mlinzi wake nimekuona umeanza kubweteka, take care man. umeilinda hazina ya nchi system soon itatoa majibu.
  14. Sifi Leo

    BODIgad wa Magufuli uliyetamka no comment USIDHANIe hakuna lijalo jipange wakati WA bwana ni sahihi

    Tumekuona baada ya miaka 5, tumekusikia nadhani UNADHANIA aliyekuhoji no dampa, Tafakari chukua hatua NAKUHAKIKISHIA Iko siku utajibu ilo kwa kiufasaha
Back
Top Bottom