Recent content by Sifi Leo

  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Daaaa! Picha linaanzia figisu za mzee Magu kuwanunua wanachadema akiwemo Mashinji, Lijualikali, Nassar, na wengine wengi Picha la kiburi linasogea mpaka kwa uchaguzi wa serikali ya mtaa! Picha la kiburi linakuja uchaguzi mkuu, CCM pekee inaongoza nchi. Picha linakuja bungeni linapokelewa na...
  2. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mshana Jr 🎂✨

    Happy birthay sir
  3. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Broo/sister uchawi upo, hata DSM watu wanaroga,Mkurugenzi wa fish point Martin KOMBA alilogwa na anae Jenga biashara kama yake hapo hapo.

    Nina Imani wazee wa vijiwe mpooo! JE uliwai fika pale Mbezi beach kijiwe kizuri kabisa kilichojilikana kama FISH POINT? Ni kijiwe Fulani kizuri kilichohasisiwa na kijana mdogo sana aliyejulikana kwa JINA la Martin KOMBA,sijui kama hapo kijiweni alijukana kwa JINA ilo ILA naisi atakuwa...
  4. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kushuhudia mazishi yako ndotoni

    Hicho kibibi kipogo?
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Daaa wadada walikuwa wawili huyu na sister p. Nasikia sister aliolewa na alikoka.
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wa kimawazo kwenye hili

    We dogo, hacha upumbavu yaani si Bora ukafundishe tuition KUJIAJILI hayo masomo ni dili nenda pale mbuji
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tittle ya file la vetting ILIYOFANYWA dhidi ya Peter Msigwa ndani ya ccm kimeandikwa: "MALAYA WA SIASA". Na lipo mezani kwa mama.

    Yawezekana msomaji unajiuliza mie sifi Leo wa jf nayakuaje ya mafile yaliyopo mezani kwa mama tena ndani ya ikulu mpya? Unapijiuliza hivyo jiulize niliwezaje enzi za jiwe kuwa namtajia mafile aliyokuwa anayarika ruka wakati wa UTAWALA wake dhidi ya operesheni yake ya kupasua jipu? Enzi hizo...
  8. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kauli ya 'Matako yao' ipo hata kwenye wimbo ambao Naibu Waziri ameshiriki kuuimba, we msajili wa Vyama ukoje?

    Huyu MSEMO wa neno MATAKO YAO! Kutoka Mh MBUNGE wa zamani WA mbeya mjini, na mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya nyasa ni MSEMO unao trend sana kwa Sasa. NENO 🤣 MATAKO YAO sio TUSI maana hakuna hasiye na MATAKO labda huyo nyaoza je nyaoza Hana tako? Ukiambiwa MKONO wako sio TUSI, ukiambiwa jicho...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Aise. Hii ni kweli kbsa
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ukweli usiopenda kusema, pasipo kifo cha magufuli hakuna mzanzibari angetawala Tanganyika, hata ilimbidi awaue kwanza.

    Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina. GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Agnes Nasania Diwani Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba afariki Dunia

    Uo mziwa hata Mimi nisingeuangalia walah
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Agnes Nasania Diwani Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba afariki Dunia

    Uo mziwa hata Mimi n
Back
Top Bottom