Yes, mwanamke alijitokeza hadharani alidai mumewe aliisha kufa huyu anae TAJWA ni nani? Na katoka wapi? Kuna posibility mmoja alifoji vyeti maana majina ni yake yale
Enzi za jiwe tuliogopa kuchunguza vyeti FEKI kwenye majeshi hasa jeshi la polisi, ILA Nina wasi wasi huyu shahidi Amini Mihamba kwenye kesi inayomkabili Tundu Lissu Kuna mmoja alikuwa anesoma na mwingine alifoji vyeti.
Kwa kuwa wa kwanza aliushafariki, na kwa jinsi utetezi wa huyu aliyehai...
Mwenyezi Mungu Baba alituumba kwa mfano wake yeye mwenyewe, hii sio KAULI yangu ni ya Mungu mwenyewe, nenda kasome maandiko matakatifu.
Sambamba na kufanana nae, pia alimpa mwanadamu akili za kutawala viumbe vyote ILA hapo si kwamba ukiwa Rais UNAKUWA na akili kuliko mpaka viumbe wenzako yaani...
Pole sana Sifi Leo kwa hisia hizi nzito unazopitia. Nimekusoma vizuri na naelewa kabisa jinsi unavyojisikia, kuona mambo kama haya yakijitokeza mahakamani kunaweza kukatisha tamaa na kuleta maswali mengi. Ni kweli kabisa, ni vigumu kuona taasisi zetu zikipitia nyakati kama hizi.
Lakini pengine...
Ikulu ijibu SWALI langu,
Mnasubilia hizi aibu zinazoendelea mahakamani zifike ikulu?
Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio,
Lakini unashangaaa anaulizwa maswali madogo.sana anajibu utumbo mtupu hii aibu mnataka ifike...
Nimefurah SANA Sana kusikia Baraza la Maaskofu kupitia Rais wao Tec akitoa maazimio ya kikao kilichofanyika ikulu ya DODOMA
Kwanza nawapongeza maaskofu pamoja na Rais kwa kuridhiana. Dhidi ya waliyoyatamka.
Nimefurah kukubaliana yakuwa
1. Wakuu wa VYOMBO VYA majeshi wote wawajibike au...
Leo TEC imekutana na Rais ikulu ya DODOMA
Tunaomba mrejesho,?
Naomba KUJUa Faza Kitima kama umemuuliza amili kesho mkuu mlinzi wa Raia na mali zao, walio taka kukuaau VYOMBO vyake vimefikia wapi?
Miaka mingi iliyopita nikiwa nimehitimu elimu ya juu, nilikutana na Dada mmoja naomba nimtaje anajulikana kwa JINA la ivone Kamuntu, Dada huyu Mimi nilisoma nae o level pale Airwing, tulifaamiana maana wote tulikuwa serikali ya wanafunzi naweza sema yeye alinujua sana Mimi maana Mimi zama zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.