Recent content by sifi leo

  1. sifi leo

    Nikiikumbuka kauli hii ya Dr Askofu Malasusa naumia sana kwa nini amekuwa Askofu tena wana jf nisameeni.

    Ni Tukio nisilo weza lisaau kamwe kwenye safari ya Maisha yangu ya kuisaka Elimu Na natamani siku moja Dr Alex Malasusa akipata nafasi ya kukutana nami au kama anayo nafasi kupitia hapa Jamii forum maana najua watu wake wa karibj ni Member wenzangu wamfikishie ujumbe huu aniombe radhi mimi na...
  2. sifi leo

    Rais wa Tanzania anapata wapi pesa nje ya Kodi zetu? Mawaziri Mwajili wenu ni sisi wananchi, Rais aliwateua

    Hizi sifa anazopewa Rais wa Tanzania zinamsataili? Kila uchwao tunasikia Rais ametoa pesa za mradi fulani, mara Mradi fulani nauliza Rais wetu hizo pesa anazitoa wapi zaidi ya kodi zetu? Kama ni kodi zetu kwa nini sifa apewe yeye wakati kazi yake ni kutunza kibubu cha fedha tunazo lipa kodi...
  3. sifi leo

    CCM hawana hazina kama walivyokuwa wakijitapa? Wanaotumbuliwa ndiyo hurudishwa na utawala huu

    Ni kweli CCM haina hazina ya wanachama bali wanavikundi vya kusifu na kuabudu ambavyo vimejaa vijana wengi Machawaa lakini hawana weredi wowote? Je, ingekuwa na hazina isingekuwa inarudia kuteua wale ilio watema mwanzoni. Hii haitoshi kudhibitisha hilo?
  4. sifi leo

    Uhamiaji: Dereva na V8 Iliyobeba wahamiaji Haramu 20 wa Ethiopia Isihusishwe na CCM

    Kuna taarifa inasambaa mitandano kutoka kwa Kamishina wa Uhamiaji mkoa wa Manyara alijulikana kwa jina Kyetema akidai yakuwa hakuna uhusiano kati ya Gari, Dereva na Bendera ya CCM ya mtumiwa wa kusafirisha waethopia 20. Kyetema kwa nini unatema nyongo hisiyotemeka? Hivi kwa gari hiyo ungekuta...
  5. sifi leo

    Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

    Mbona za ndani ya kyupi zinadai no punga?
  6. sifi leo

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Matakoooo bar temeke ilikuwa na mimi yenye makalio hatari
  7. sifi leo

    Mimi sioni madhara endapo atajiuzulu, vipi wewe unayaona?

    Sioni tija ya nafasi ya Umakamu wa Rais hata anapotishia kujiuzulu kisa maji yasipofika Wilaya ya Mwanga na kwingineko. Je, mdau wewe unaona tija ya kiti cha Makamu wa Rais? Nukuu ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango “Kila mmoja anayehusika katika mradi huu atimize wajibu wake, na mimi...
  8. sifi leo

    Kilimanjaro: Ajinyonga hadi kufa kisa wivu wa kimapenzi

    Akapambane na wakuda uko mbinguni
  9. sifi leo

    Mazuri ya Rais Samia na Mabaya ya Hayati Dkt. Magufuli

    Kipara bado kipya mkuu?
  10. sifi leo

    Mazuri ya Rais Samia na Mabaya ya Hayati Dkt. Magufuli

    Serikali sijui mna waza nini dhidi ya historia nzuri za watu hawa kwa waliyo yafanya enzi za uhai wao hapa Duniani. Ni kweli Dr Samia na viongozi walio pita mmejenga malaibrary ya wapendwa wetu huko waliko zikwa Lakini ni.watanzania wangapi watafunga safari kutoka Sumbawanga,katavi au hata...
Back
Top Bottom