Daaaa! Picha linaanzia figisu za mzee Magu kuwanunua wanachadema akiwemo Mashinji, Lijualikali, Nassar, na wengine wengi
Picha la kiburi linasogea mpaka kwa uchaguzi wa serikali ya mtaa!
Picha la kiburi linakuja uchaguzi mkuu, CCM pekee inaongoza nchi.
Picha linakuja bungeni linapokelewa na...
Nina Imani wazee wa vijiwe mpooo!
JE uliwai fika pale Mbezi beach kijiwe kizuri kabisa kilichojilikana kama FISH POINT?
Ni kijiwe Fulani kizuri kilichohasisiwa na kijana mdogo sana aliyejulikana kwa JINA la Martin KOMBA,sijui kama hapo kijiweni alijukana kwa JINA ilo ILA naisi atakuwa...
Yawezekana msomaji unajiuliza mie sifi Leo wa jf nayakuaje ya mafile yaliyopo mezani kwa mama tena ndani ya ikulu mpya?
Unapijiuliza hivyo jiulize niliwezaje enzi za jiwe kuwa namtajia mafile aliyokuwa anayarika ruka wakati wa UTAWALA wake dhidi ya operesheni yake ya kupasua jipu?
Enzi hizo...
Huyu MSEMO wa neno MATAKO YAO! Kutoka Mh MBUNGE wa zamani WA mbeya mjini, na mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya nyasa ni MSEMO unao trend sana kwa Sasa.
NENO 🤣 MATAKO YAO sio TUSI maana hakuna hasiye na MATAKO labda huyo nyaoza je nyaoza Hana tako?
Ukiambiwa MKONO wako sio TUSI, ukiambiwa jicho...
Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina.
GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.