Ndio Sayansi ya mapenzi iko hivyo ik wengi hawalielewi hilo, wanafikiri mwanamke ni mtu anaweza kulainika kwa mwanaume yoyote tu kisa umemchezea[emoji3] Sio kweli , mwanamke hisia zake kwako Ndio zitakufanya na wewe uenjoy akiwa hana hisia na wewe hata iyo game utaiyona ya hovyo
Kama bile Mungu yesu alivyoshindwa kujiokoa akapigwa na watu alowaumba mwenyewe na kilio juu alilia[emoji419][emoji1787][emoji419][emoji23][emoji23] haya ni maajabu jamani!!
Yasni uache kushangaa mungu yesu ukashangae waislam mzima kweli wewe!!!
Makosa gani ya ajabu alifanya!!? Mbona mnapenda kuhukumu watu kwa vitu vidogo sanaaa?!! Zile ni siasa kama siasa zingine tu yeye sio wa kwanza wala wa mwisho..
Bashe alimtukana kikwete waziwazi bado kuna kina chalamila yeye tena alisema Makamo anaweza kua mchawi akamroga Rais hapo unahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.