Mapenzi ni pesa maua wapelekee nyuki watengeneze asali, mana hakuna mapenzi ya machozi kwenye dunia ya utandawazi hata hulie debe la machozi haliwezi kumnunulia smartphone.
natafuta mpenz msichana, elimu c kigezo ila awe na umri ucozd miaka 23 na c pungufu ya 18, lakn pia awe na mapenz ya dhat anayewiwa kuwa na mm antafute 2ongee private.
Na nliowapata mwanzo walikuwa na ahad tele mara et wakinywa maj wananiona kwenye glas sa najiulza m jn kumbe waongo wakubwa uktaka kuamn kuwa waongo andka kuwa unafanya kaz TRA au bank watakupgania. weng wako after money
Mi nimechoshwa na wasichana wa humu mtandaoni mana wa kwanza alikuwa mwizi, wa pili alikuwa malaya wa kutupwa ,wa tatu mpenda hela ka amezaliwa kwenye ATM wa mwsho ana majini m nasubr wa kunifuata home c hum nmechoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.