Recent content by sichasony

  1. S

    JamiiForums Tanzania Tumchague Dr. Magufuli kwa maslahi mapana ya Taifa letu

    We nae umejichoka sana. Maslahi mapana hayo ni yapi kama si kuvuka mipaka ya vyama na kutazama kitaifa hata kama itakuwa ni nje ya vyama vyao. Nadhani ukawa wametoa mfano bora. Unachema unakipinga kwa maelezo yako. Kama unaangalia maslahi ya taifa acha mambo ya uchama.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Jaji Damian Lubuva anakwenda kuweka historia mpya Tanzania

    Ndugu pamoja na kwamba wewe ni mshabiki wa chama chako lakini umuogope Mungu. Neno hilo "LILE GONJWA TUMELITEMA" sio zuri. Wenzako kina J.KOMBA & C. KOMBANI walitamka maneno kama hayo hadharani then imetokea kinyume chake. Kwa kutamka hivyo unamuombea heri na hayo mabaya yatakufuata wewe. Mungu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Imetangazwa na ITV habari.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kama akili zako zipo sawa utanielewa, ila kama zimepungua utabishana na ukweli huu..

    Nimekuelewa zaidi ya ulivyotarajia. Natamani kila mtanzania angepata elimu hii, atakayebisha siyo mtanzania.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Ndembe ndembe kifo cha mende chaliiii...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Natamani nape nauye aendelee kutoa maneno yake ya nyimbo za taarabu ili tuendelee kuichukia sisiem. Mwaka huu wataandamana.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Amka wewe uliyelala, wenzio tulishaamka.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!

    Uwaziri miaka 20, PhD yake lakini swali la darasa la tatu au la nne linamshinda sasa siasa za nje ndo hajui kabisa. Hatufai.
  9. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA jibuni hizi shutuma tuwaelewe kama wanamabadiliko wa kweli

    We boya kweli, nani msafi ndani ya sisiem yenu?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Shirikisho la Vyuo Vikuu Tanzania latoa tamko la kumuunga mkono Dr. Magufuli

    Tunasikia waliitwa ikul na mkubwa wakapewa bahasha walipofungua ndani kulikuwa na miln 25 kila raisi wa chuo vyuo vyote tanznia wiki kadhaa zilizopita.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Watu wawili wafariki kwenye mkutano wa CCM uwanja wa Jamhuri Morogoro

    Wanasomba watu kwa magari na kwenda kuwasababishia vifo. Cha ajabu watoto ndo walikuwa wengi.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Sababu za kuwaingiza ukawa Ikulu 25 Oct

    CCM wanatakiwa kufanya ulinganifu, kati ya yale walioahidi 2010 na watakachofanya awamu hii. Eti wao wanaweka kando yalopita na kutuletea mapya, muda ukifika nayo yatawekwa kando tena bila kutekelezwa. Tulichoamua ni mabadiliko UKAWA.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Sababu za kuwaingiza ukawa Ikulu 25 Oct

    1. Mwenendo wa bunge lililopita ambao wananchi wengi walikuwa wakilalamikia, maamuzi ambayo hayakuonesha uzalendo. Lugha chafu, matusi na vijembe. 2. Ukwepeshaji wa mambo wakati wa bunge maalum la katiba. Mambo ya msingi ambayo yangeweka misingi ya uwajibikaji, utawala wa sheria, kupunguza...
  14. S

    JamiiForums Tanzania UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    UKAWA mtindo mzima.
Back
Top Bottom