Recent content by sicco

  1. S

    Mwampamba/Musiba: Kama kweli wewe ni 'public figure' tweet, usijiokoteze maneno mbele ya media.

    Kama wanaongelea ishu zibazohusu watu sioni ubaya, tweet inategemea na anaetoa ujumbe upendeleo wake. Tatizo la nchi hii ni siasa za maji taka, hata kama mtu anaujumbe nzuri atapondwa shida tu yupo upande Wa pili.
  2. S

    Jicho la 3 - Ya Sokoine na Lowassa yanafanana sema JK aliogopa kwenda mbali !! Sikio halizidi..li

    Umenikumbusha zito na chacha walipotaka uenyekiti wa chama demokrasi hii story ya kichwa na sikio kama ni ya kweli basi ilihusika.
  3. S

    Jicho la 3 - Ya Sokoine na Lowassa yanafanana sema JK aliogopa kwenda mbali !! Sikio halizidi..li

    Umenikumbusha zito MA cha-cha walipotaka uenyekiti wa chama demokrasi hii story ya kichwa na sikio kama ni ya kweli basi ilihusika.
  4. S

    Rais Kikwete alikuwa anaajiri kila mwaka, yeye alitoa wapi hela?!

    Hata waliomwita JK dhaifu wanauliza swali hili hili.
  5. S

    Swali: Baada ya jiji la Mwanza mji upi unafuata kwa ukubwa kanda ya ziwa?

    Mtoa uzi jiografia imekupiga chenga, serious Tabora ipo kanda ya ziwa?
  6. S

    Salary Slip Portal: Mfumo mpya unaoweza kumsadia mfanyakazi kuprint salary slip zake

    Huku paka wa mistari miekundu na nyeupe hachangii, anasubiri uzi wa sugu.
  7. S

    Rais Magufuli awapongeza wabunge na madiwani wateule,awahimiza kufanya kazi kwa uadilifu

    Mtakalia hayo hayo mpaka mnazeeka maisha yanaendelea chaguzi zinasonga. Maisha ndio hayo chadema inastawi sikuzote yanapotokea mauaji ndio inasimama na kuanza tuhuma ooo mmeua serikali gani, mauajiayangetokeaje bila maandamano uchwara. Shame chadema.
  8. S

    Rais Magufuli awapongeza wabunge na madiwani wateule,awahimiza kufanya kazi kwa uadilifu

    Hakuna na mna, ukikwepa kodi unategemea nini, ni kipigo tu.
  9. S

    Rais Magufuli hafanyi kazi kwa kushinikizwa, wanaodhani Mwigulu atajiuzulu mmegonga mwamba

    Acha kutumia mandiko matakatifu kwa upuuzi wako.
  10. S

    CHADEMA wazungumza na Wanahabari kuhusu Mwanafunzi aliyeuawa na jinsi Mbowe anavyotafutwa na Polisi

    Muacheni mtulia apumzike, mnadhani propaganda za kutumia vifo mmeanza leo, hamzungumzii kushindwa kwenu mnatafuta kwanza huruma kwa kivuli cha msiba
Back
Top Bottom