GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,847
Haiwezekani na haiingii akilini kabisa Mwandishi wa Habari ' Professional ' na ' Critical ' kabisa ukapoteza muda wako wa thamani kukimbilia katika Press Conferences za Kiongozi wa Wendawazimu nchini Tanzania kama na Wewe pia siyo mmoja wa wale wale Wendawazimu.
Yaani Waandishi wa Habari wa Tanzania mmekosa kabisa ' news tips ' za maana na zenye kujenga nchi itutoe Kimaendeleo hapa tulipo na mnakazana kwenda kumsikiliza Cyprian Musiba akiwa anatiririka na anaserereka ' uharo ' tu na nyie mnamsikiliza?
Hivi labda niwaulizeni nyie Waandishi wa Habari ' hopeless ' kabisa tokea muanze kumfanyia ' coverage ' Cyprian Musiba mmeona kuna anything constructive coming out his Pig like mouth? Anawapeni nini hadi mnajipendekeza Kwake?
Hivi tukisema kwamba pengine wengi wenu ambao huwa mnaenda kumsikiliza Cyprian Musiba labda ' Mafaili ' yenu ya Uwendawazimu uliowatukuka yameshatangulia mapokezi Hospitali ya Vichaa ya Milembe Mkoani Dodoma tutakuwa tunakosea?
Badilikeni upesi mnatia aibu na karibuni mtachokwa na kudharaulika.
Nawasilisha.
Yaani Waandishi wa Habari wa Tanzania mmekosa kabisa ' news tips ' za maana na zenye kujenga nchi itutoe Kimaendeleo hapa tulipo na mnakazana kwenda kumsikiliza Cyprian Musiba akiwa anatiririka na anaserereka ' uharo ' tu na nyie mnamsikiliza?
Hivi labda niwaulizeni nyie Waandishi wa Habari ' hopeless ' kabisa tokea muanze kumfanyia ' coverage ' Cyprian Musiba mmeona kuna anything constructive coming out his Pig like mouth? Anawapeni nini hadi mnajipendekeza Kwake?
Hivi tukisema kwamba pengine wengi wenu ambao huwa mnaenda kumsikiliza Cyprian Musiba labda ' Mafaili ' yenu ya Uwendawazimu uliowatukuka yameshatangulia mapokezi Hospitali ya Vichaa ya Milembe Mkoani Dodoma tutakuwa tunakosea?
Badilikeni upesi mnatia aibu na karibuni mtachokwa na kudharaulika.
Nawasilisha.