Recent content by siasa ms

  1. S

    Leo sayari zile 7 zitaonekana angani kwa mara ya mwisho na hutaziona tena hadi mwaka 2040

    Mwezi huu niliona Kama nyota 21 zimepangana zikifuatana angani.Nilishangaa sikujua ni kitu gani.
  2. S

    Kama unakasirika sababu ya jambo moja kati ya haya fahamu wewe ni Mpumbavu kabisa

    Kabla ya maisha yangu kufichwa ndani ya Kristo katika Mungu nalikuwa mtu wa namna zaidi ya hiyo hasira,chuki,kukataa maonyo,kutokukubali kukosolewa na Mambo mengi ya namna hiyo. Lakini kwa sasa ni historia uniseme,unitukane,unidhihaki,unisingizie uongo,unionye hainiumi na hainisumbui Kama...
  3. S

    Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

    Watu wa Tanga hii isiwasumbue hata kidogo,ishini katika nyumba zenu kwa utakatifu na kutenda haki Kati ya ndugu na majirani zenu wa mikoani Kwa maana siyo nyumba peke yake zinazojengwa Kwa udongo bali hata miili yetu iliumbwa Kwa udongo.Kwahiyo ukiidharau nyumba ya udongo umeudharau mwili wako...
  4. S

    Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

    Nikiangalia posti zangu,quotes na reply zangu za nyuma na quotes za nyuma huwa na shaangaa sana Kama ni Mimi, Kristo amenibadilisha sana,atukuzwe Mungu aliyemtumia Kristo aje kuiharibu na kuikanyaga historia yangu mbaya. 2 Wakorinto 5;17 Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe...
  5. S

    Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

    Mtumishi wa kiroho kwenda hospitalini kufanya miujiza na kuponya? Huko ni kuingilia taaluma ya madaktari,uhuru wa mgonjwa kwasababu mgonjwa anatakiwa atibiwe katika namna ya utulivu. Hata hivyo miujiza inatumika kama Ishara kwa mtu asiyeamini,sana sana ilitumika na inatakiwa itumike...
  6. S

    Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

    Kwanza nakubaliana na wote walichangia mada Nafikiri ni kwasababu ya 1)Nguruwe hawafugwi kwa wingi kama ng'ombe na mbuzi,kwahiyo hao soko lao linaishia majumbani tu. 2)Dhamiri. Ukichanganya nguruwe na wanyama wengine kwenye biashara au sokoni tegemea kukosa wateja wa Imani Fulani na hii...
  7. S

    Hivi kuna maisha baada ya kifo?

    Hakuna maisha baada ya kifo bali kuna maisha baada ya ufufuo., Haiwezekani mtu kuishi akiwa amekufa,na ili mtu huyo aishi ni mpaka afufuke tena
  8. S

    Vitabu vya Dini vina Mafumbo kana kwamba ukiwa Kichwa nazi uwezi kuelewa au utaelewa tofauti

    Biblia siyo kitabu cha dini. Na ninaweza kuthibitisha hilo.
  9. S

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    Hakuna maisha baada ya kifo Bali kuna maisha baada ya ufufuo
  10. S

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    hapo kwenye wenyeji ni uraia/citizenship,,IPO hivi hapo kuna kitu kinaitwa ufalme wa mbinguni Tulipotawaliwa na waingereza kwamfano tulikuwa ni raia wa ufalme wa uingereza japokuwa tulikuwa mbali na uingereza kama koloni Lao. Haina maana ya kwenda mbinguni kuishi Bali sisi ni raia wa mbinguni...
  11. S

    Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

    Amina. ila Mpango wa Mungu sio mwanadamu akae mbinguni mtumishi.
Back
Top Bottom