umeona huruma anayopata wspiga kura wamemwonea huruma na kumpa kura. tbc yavtaifa wakati huu wa uchaguzi kweli wanashindwa kutuhabarisha angekuwa anaongoza magufuli si wangekuwa wanarusha? shame on themhakuna haja ya kuwepo. walirusha sana matangazo ya kampeni kwa ubaguzi kumbe watz wsmewapuuza...
ni laana kuchagua chama ambacho miaka hamsini kimeishia kuzalisha mafisadi tuu .huyo fisadi kafanya ufisadi na nanii. unataku kutuaminisha kuwa lowasa ndo fisadi tuu huko fisiemu na huo ufisadi alifanya na nani? watakuelewa tuu wenye akili za mkia wa mbuzi kama wewe ila kwa wasomi kama sisi...
huyu lizaboni mjingamjinga tuu wanaokusikiliza kwa pumba zako ni wajinga zaidi yako ila kwa tunajielewa hauwezi kumbadilisha mtu hata kijiwe cha viroba huwezi badili kitu. sijui kama unakipenda wewe mwenyewe maana mtu unayejipenda huwezi huwezi kutokwa na uchafu hivyo baada ya 25 oct ujifanyie...
Mwacheni Mungu aitwe Mungu haya mambo yanapita na tutaendelea na maisha. Mungu amewaaibisha sana awamu hii mmesubiri mgonjwa aanguke mpate kisingizio lakini kwa kuwa alianza na Mungu na atamaliza na Mungu. mbona wengine walipotea siku kadhaa bila taarifa hamkuhoji? acheni kuhukumu wenzenu...
sisi kule kwetu ccm wanapita kama wafiwa. nimejaribu kumuuliza ndugu yangu ambaye hana maslahi na cha chochote akaniambia huku ccm wanatia huruma wanapita kama wafiwa hakuna mtu anataka kuwasikia. huko ni kijijini siyo mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.