Recent content by Siachi hela

  1. Siachi hela

    Ajira Utendaji wa Kata

    Kweli mkuu, barikiwa kwa kunielewa
  2. Siachi hela

    Ajira Utendaji wa Kata

    Waziri wa tamisemi juzi alitangaza kuwa wako katika hatua za mwisho kuajiri watendaji wa kata zaidi ya 500. Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje? Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine. Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja...
  3. Siachi hela

    Natafuta Dalali wa Frame Katoro

    Nahitaji kupata frame Katoro, mwenye kufahamu au mwenye mawasiliano ya dalali au dalali mwenyewe naomba tuwasiliane. Shukrani.
  4. Siachi hela

    Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

    Kapime kama kweli wewe ni carrier wa huo ugonjwa, kama sio basi itakuwa umepigwa. Lea mtoto ukitambua wewe ni social father ina Baraka sana kwa Mungu.
  5. Siachi hela

    Nawezaje tatua changamoto ya kushindwa kushare document via WhatsApp

    Wadau naombeni msaada wa maelekezo, kwasasa nashindwa kabisa kushare doc za pdf, camscanner n.k via whatsap, tayari nimefanya update kwa application zote ila bado changamoto bado. Naomba msaada nifanye nini?
  6. Siachi hela

    Uislamu ni tofauti na wengi tunavyouchukulia: Haya ni mambo ambayo watu walielewa tofauti kuhusu uislamu

    Kwamba unaruhusiwa kuua ukiwa unatetea haki! Kabla ya maujinga mengi ujinga wa kwanza ni huu. Hii dini Mungu wao ni wa kusaidiwa/kupambaniwa, yani mtu akichoma quran et ukimuua unapata thawabu, kwanini kama mnakiamini hicho kitabu msimwache mwenye kitabu mwenyewe akipambanie! Mungu wa wakristo...
  7. Siachi hela

    Wizara ya Afya imeonesha udhaifu Mkubwa katika ajira zao

    Hapo kwenye hoja zisizorasmi ndo umeharibu.
  8. Siachi hela

    Nani mpambanaji kati ya Mama Caren na Mama Grace? Chagua mmoja

    Yani mponda kokoto unamlinganisha na aliye na uwezo wa kusoma Hadi nje ya nchi!! Unaijua kazi ya kuponda kokoto kweli!!
  9. Siachi hela

    Ajira za ualimu na Afya

    Tufafanulie mkuu...
  10. Siachi hela

    Ajira za ualimu na Afya

    Naunga mkono hoja, ajira ukiiomba huku una kitu kinachoendeleza maisha yako inaleta tija zaidi kuliko kuwa muomba ajir tu usiyetafuta kupambana na harakati zingine za kitaa.
  11. Siachi hela

    Ajira za ualimu na Afya

    Course gani?? Kama ni ualimu au afya Hilo sio kosa la serikali ni uzembe wako mwenyewe, maana huko nyuma ajira kwa sector hizo alikuwa haachwi mtu tatizo limeanza 2015, hivyo wanaopaswa kulaumu humu kutokana na jina la uzi ni hao wa kuanzia mwaka huo na mimi nikiwemo ambao mpaka sasa tuna miaka...
  12. Siachi hela

    Ajira za ualimu na Afya

    Ushauri mzuri, ila binafs kwakuwa nmepitia uzoefu huo na mpaka sasa naendelea kukomaa kitaa, siwalaumu vijana kukomaa na ajira za serikali wako sawa kabisa tuwatie moyo. Uhalisia wa kitaa ni mgumu sana, hata mwenye jitihada(bidii) kabisa anakwama kupata hata kibarua cha kupakiza tofali kwenye...
  13. Siachi hela

    TAMISEMI siyo vibaya kama mtasema ni lini selection ya ajira kwenye sekta ya afya na elimu itatoka

    Kumbe wanakaa mahosptalini! Nilizani ni hamshauri au kwa ofisi za mkuu wa wilaya.
Back
Top Bottom