Recent content by shux

  1. S

    JamiiForums Tanzania Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Hoja zako zinafanana na jina lako #kubwajinga
  2. S

    JamiiForums Tanzania Magufuli, kupiga push ups ni busara? IQ vipi? Ipo?

    kwani we umepima? ivi unajua kuna watu sio wagonjwa lakini wagonjwa
  3. S

    JamiiForums Tanzania Magufuli, kupiga push ups ni busara? IQ vipi? Ipo?

    magufuli hajui kutofautisha kati ya kugombea urais na mieleka .yeye anafikiri kupiga push up kunamfanya apate kura ata akivuta jiwe kwa kutumia kidudu hatudanganyiki tunataka mabadiliko.ka vp aende kwa joncena akapige push up.mh si ajabu kwa joncena ataleta siasa
  4. S

    JamiiForums Tanzania Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    ccm ni ukoo mchafu ambao hauwezi ukasafishwa na mtu mmoja uyo mmnaemuamini kuwa ni msafi.kama bb babu mama baba n wachafu lazima mtoto wao watakuwa wachafu.nakushauri achana na akili yako mgando
  5. S

    JamiiForums Tanzania Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    anafaa asilimia zote .
  6. S

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

    unategemea kwamba uyo dada atajitongozesha kwako .wadada wengi ni ngumu sana kufanya ivo hata kama anakupenda .kama unampenda mwambie kukataliwa ni kawaida sana unakubali matokeo unajaribu kwa mwingine. unavoendelea kumtegea uyo mdada unapoteza mda wa kupata mtu mwingine
  7. S

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani

    Hahaaaaa
Back
Top Bottom