Recent content by shuma50

  1. shuma50

    Lowassa na Rais mpya wa Ghana, ni ugonjwa wetu Waafrika?

    Dah we jamaa nae pasua yani unasema kabisa confidently waafrika hakuna kitu kipya tutafanya alafu unajicheka kabisa Umesahau kuna wakati africa na ulaya kuna wakati karne kadhaa nyuma zilikua same level of development na kuna vumbuzi kibao zilikua zimeshafanyika africa ikiwemo Egypt, Ethiopia...
  2. shuma50

    Polepole: Mshahara wangu CCM ni chini ya milioni moja

    Mbona kuna mgombea wa urais ukawa aliipinga katiba na ndio kamanda mkuu wenu sasa ivi
  3. shuma50

    Kama Mnyika au mbunge yeyote mwingine anataka kuondoka CHADEMA mwacheni aondoke

    Chadema ni Taasisi,? Sio mtu mmoja,? Utakua huifaham ww
  4. shuma50

    Jambo la ajabu laweza kutokea Dodoma July 23, 2016

    Hamjui Wasogeza magoli
  5. shuma50

    Mkutano wa CCM sio wa kisiasa ni wa KISHERIA

    Me sioni ata mantiki ya kujadili Kwani Ccm wanafanya maandamano or mkutano wa hadhara iyo Dodoma ? Ni Mkutano Mkuu wa Chama...je vyama vingine vimezuiwa kufanya Mikutano Mikuu au ni kawaida ya watu tu kusema?
  6. shuma50

    Rais Magufuli bado sana watanzania ni vipofu wa fikra

    Lofa katika ubora wako Kweli mwaka wa malofa huu Watanzania bado sana vipi kuhusu Africa na dunia nzima kukubali utendaji wake?japo ni chini ya mwezi mmoja ofisini.
  7. shuma50

    Hatudanganyiki, huyu mfanyabiashara alikuchangia mapesa Magufuli

    Acha ulofa Ccm walinunua mda Star tv na walichosema ni Kumshukuru Diallo kwa kukubali kuwauzia mda wa kutosha kurusha kampeni zao kwani kuna watu walikua wanatumia pesa ili ccm wasisikike kabisa au wapate mda mdogo wa kuwa hewani kwenye Tv na Radio jambo ambalo Star Tv walikataa na kukubali...
  8. shuma50

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Can't wait mkuu...linatangazwa lini kwani mkuu ilo baraza la hapa kazi tu?
  9. shuma50

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Baraza linatangazwa lini kwani mkuu?I can't wait dah
  10. shuma50

    Maskini Tanzania!

    Ilikua iwe salama kwenye mikono ya Dr.Slaa na kina lipumba sio fisadi apo ndipo watu walipostuka
  11. shuma50

    MkikiMkiki: Uliza swali lako mdahalo wa vyama vya siasa kuhusu uchumi

    Ni lini mdahalo wa wagombea urais utafanyika?
  12. shuma50

    Yote tisa, kumi CCM wametuweza kweli kweli

    Ikulu sio pango la walanguzi:jk nyerere
Back
Top Bottom