we jidanganye tu kwa taarifa yako USA kwa tekinolojia waliyonayo wanaweza kuwalinda wananchi wao kwa kiwango kikubwa sana hivi unadhani hata haya yanayoendelea hapa bongo marekani wakitaka kuwafichua wahuni inashindikana si swala la dakika 0 tu. sema marekani wanakaa kimya kwa maslahi yao...
akome kwanini mchungaji unajiingiza kwenye biashara za ovyo hivyo maana yake na yeye ni tapeli anawaibia waumini wake ila amekutana na matapeli wenzake wamemnyoosha!
ISSUE SIO UKUBWA WA DENI ILA NI APPLICABILITY YA AYO MADENI YANAYOKOPWA TUONGEENI UKWELI MTAANI HALI INAZIDI KUWA NGUMU PESA HAIONEKANI ILA WATU WACHACHE WANAJENGA MAJUMBA YA KIFAHARI NA KUNUNU MAGARI MAPYA YA BEI KUBWA!
wenzetu wanachezea kazi wakati sisi wengine tunafunga na kuomba kupata kazi hii dunia hii..!
NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar es Salaam. Nina shahada ya utawala, na...
kumbukizi ya kifo uhadhimishwa kwa kukumbuka yale yaliyofanywa na hayati au marehemu siku za uhai wake na sherehe za mahadhimisho ufanywa kwa kukumbuka siku ya kuzaliwa. kifupi inakaa hivi
mahadhimisho ya kifo - (hayati/marehemu) siku ya kifo
mahadhimisho ya kuzaliwa - sherehe (hayati/...
muhimu kazi iendelee.
NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar es Salaam. Nina shahada ya utawala, na uzoefu wa miaka 8 katika usimamizi wa miradi, utafiti, data entry, na...
wasiishie tu kwenye kodi na ukaguzi wa matumizi ya pesa kwenye mashirika ya serikali pia uhusishe external international auditors.
NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar...
umeongea ukweli kabisa na ndio ipo hivyo siku iran akijichanganya hakuna rangi ataacha kuona.
NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar es Salaam. Nina shahada ya utawala...
naombeni kuuliza hivi ni kwanini hayati Moringe Sokoine anaheshimiwa na kuenziwa sana kama rais vile ili hali alikuwa waziri mkuu tu??. kuna vitu gani vya tofauti alivifanya hayati Sokoine naombeni majibu kwa faida ya wengi na vizazi vya kuanzia 90..
NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.