Recent content by shostsm

  1. S

    JamiiForums Tanzania The New Dr Shein's Cabinet

    Huu msururu wa mawaziri wasio na wizara maalum ni kwa ajili gani? Huu ni uchakachuaji wa mali ya umma.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Bunge na Hesabu za Asilimia

    Hawa watu wamezoea kuchakachua, ni aibu kubwa kwa watu wa ngazi nzito kama ile kukosea namna hii. Nafikiri Mungu ameamua kuwaumbua na kuweka makosa yao peupe. Something very serious is hidden behind this!! Hata matokeo ya kura za Uraisi hesabu zake hazieleweki. Ukijumlisha kura walizopata...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Matokea kura za Uspika yanatia shaka kimahesabu!!

    Kwa kuzingatia idadi ya wabunge wa CCM ndani ya bunge letu, ni dhahiri kila mtu alitegemea Mh Ana Makinda angeshinda kirahisi kabisa katika kinyang’anyiro cha Uspika. Pamoja na matarajio hayo, lakini inatia shaka kidogo jinsi takwimu zinavyotangazwa. Matokea jinsi yalivyotangazwa: Watu waliopiga...
Back
Top Bottom