Habari Wana JF
Mwenye uelewa napataje apartment za national housing hizi za bei ya kawaida chin ya laki tano ila nzuri ambazo unakuta mtu anatoka unaingia.
Binafsi sina shaka na Jose kwenye uongozi ni yuko vizuri msomi na anajua uongoz na anahistoria ya kuongoza nimesoma nae darasa moja alikua moja wapo wa mawaziri shule..ila kuhusu swala la kuteuliwa litafatana na yeye je anapenda, sio kumteua wakati hayuko hata interested na siasa..kwanza mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.