Recent content by shoaddy

  1. shoaddy

    Je, ni sahihi kutumia Bibilia ya kwenye simu wakati wa ibada kanisani?

    Tunasoma Biblia Takatifu. Kwa Bible app tutasema tunasoma nini? Pia walio pembeni yako watajua kama unasoma Biblia?
  2. shoaddy

    TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa BoT, Amatus Liyumba afariki dunia

    Mazishi yake ni lini na wapi? Kwa wanaojua Pls
  3. shoaddy

    Rais Magufuli amteua Ally Hapi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni

    Siasa ni tamuu sana. Ujue tu kucheza na brains
  4. shoaddy

    Rais Magufuli amteua Humphrey Polepole kuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma

    Duuuh Hongera zake. From KAtiba Mpya to DC
  5. shoaddy

    System hii mpya Muhimbili watakufa wengi

    Wanyonge tutakufa, matajiri nyie wenye nazo mtakwenda private hospitals
  6. shoaddy

    TANESCO: Mgawo wa Umeme kila siku

    Wanapendekeza kushusha sio kupandisha, kasome www.ewura.co.tz. Summary of the Application Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is a Tanzanian parastatal organisation established in 1964. It is wholly owned by the Government of Tanzania. Its business includes the generation...
  7. shoaddy

    TANESCO: Mgawo wa Umeme kila siku

    Washa zima washa zima. Wapigieni.
  8. shoaddy

    TANESCO wanaomba kushusha Bei ya Umeme sio kupandisha

    Nimepitia ombi la TANESCO kwenye website ya EWURA naona kama watu lugha gongana. Hii ni copy and paste. Extract from TANESCO's request. Mara nyingine tuwe tuna copy from reliable source. Magazeti hayaaminiki. Mengine yapo kisiasa kuchonganisha watu. Summary of the Application Tanzania Electric...
  9. shoaddy

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    TANESCO niliona walitangaza ikiwa matumizi yako hayazidi Unit 75 kwa miezi mitatu au nadhani sita unatakiwa kuandika barua urusishwe kwenye tariff ambayo hawalipi hiyo service charge. Lakini nasikia watu wanaiba umeme, wameunganisha umeme kinyemela alafu wananunua umeme kidogo yaani TANESCO...
  10. shoaddy

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    Mbona watu wengine vichwa vigumu? tumeshaambiwa TANESCO hapangi kodi, kodi ipo kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge, hata hizo REA na EWURA limepitisha Bunge. Hebu tuelewe, leteni hoja za kukatika kwa umeme, tuulize TANESCO wana mipango gani ya kuzalisha umeme, wana mipango gani kwa mfano...
  11. shoaddy

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    Well explained. Na sio kaibiwa. Apitie hesabu zake vizuri.
  12. shoaddy

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    Kuna wateja ambao hawalipi Bili zao kwa wakati, mfano wale ambao walikuwa wanatumia mita za zamani alafu baadae walivyofungiwa mita mpya LUKU madeni hayo yakahamishiwa kwenye LUKU. Hivyo anajua kabisa kuwa kila anaponunua umeme nusu ya pesa aliyotoa inalipia madeni yake ya nyuma.
  13. shoaddy

    Tetesi: Wakuu wa mikoa kutangazwa leo?

    Hao Wakuu wa Mikoa hope wengi watakuwa wapya. Au ni yaleyale reshuffle.
  14. shoaddy

    Kwa wizi huu wa TANESCO, lazima tufike 1.9tr

    Duuuh kweli hii kali, mtu hajui hata analipa kodi kwa kazi gani. Tanzania hiyo, alafu mnasema Lipa Kodi kwa Maendeleo ya Taifa kila siku. Watu wanakamatwa kwa kutolipa kodi kumbe elimu ndogo hawaoni haja ya kulipa kodi.
  15. shoaddy

    Anasa darini akijaribu kuiba Dukani

    Hayo mabo yapo kweli? au mizengwe tu.
Back
Top Bottom