Recent content by shizzoh

  1. S

    Hivi kumuhudumia mpenzi wako ni hiari ama lazima?

    Unataka nani amhudumie??? sio lazima ila ni vizuri kumhudumia kikamilifu
  2. S

    Ushauri tafadhali tabia za jamii hii

    Kwa jinsi navyowaelewa mimi hawana tofauti sana na wazaramo
  3. S

    Kuna watu hatuna bahati

    Pouleeee
  4. S

    Ananinyanyasia watoto wangu kisa yeye hazai, sijui nimfanyaje?

    Nawahurumia sana watoto. Huyo hakufai na ataendelea kufanya makubwa zaidi ya hayo. Kama huwezi kumkemea basi muondoe haraka iwezekanavyo
  5. S

    Ananinyanyasia watoto wangu kisa yeye hazai, sijui nimfanyaje?

    Nawahurumia sana watoto. Huyo hakufai na ataendelea kufanya makubwa zaidi ya hayo. Kama huwezi kumkemea basi muondoe haraka iwezekanavyo
  6. S

    Tamko: Sitaki shobo

    Hahahaha message delivered, teh teh
  7. S

    Hivi mtu anakunyimaje Amani

    Ndo udomo zege huo sasa
  8. S

    Ina maana mabinti wa kitanzania mmefikia hatua hii au ni uhaba wa wanaume?

    Duh hii kali, sasa mkuu kama mahari huwezi je kutunza familia itakuaje kama tukikuashauri kuoa
  9. S

    Je, Ingekuwa wewe ungefanyaje?

    Inaumiza sana dahh,
  10. S

    Kubadili dini

    Ila umenichekesha sana
  11. S

    Kubadili dini

    Kwahiyo kindondindo una miaka mingapi? Na je uko tayari kuachana nae??
  12. S

    Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

    Ebu jaribu kutumia godoro Dodama
  13. S

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    Kweli kabisa mkuu
  14. S

    Aibu mkutano wa kampeni ya Magufuli mjini Tarime

    Magufuli hana hili Wala lile kashajikatia tamaa ila basi tu
Back
Top Bottom