Huyu jamaa nahisi sehemu kulipotakiwa kuwa na kichwa aliwekewa jiwe, Unabishana na mkurugenzi wa HESLB aliefanya press conference na akatoa maelezo hayo....."Kuna watu ni wachawi mpaka kwa nafsi zao".
Upinzani Kuongoza nchi kwa kutegemea CCM isambaratike yenyewe ni dalili ya Upinzani ulio dolola, Kwa hali ya sasa ktk hatma ya siasa za kitanzania, kila kiongozi wa upinzani anasema"Kwa mwenendo huu hakuna chama cha Upinzani kitakachobaki salama, ni muda mwafaka wa kuunganisha nguvu kupinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.